Binamu kaja na mumewe msibani lakini analazimisha tuchepuke

Binamu kaja na mumewe msibani lakini analazimisha tuchepuke

Maleven

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2019
Posts
689
Reaction score
3,373
It is no joke, nikijua mke wangu yuko hivi, ni bora tutengane tu. Tuko msibani kwa Uncle, binamu kaja na mume wake, lakini anamkwepa anataka tufanye vitu vya ajabu. Huku ni kutaka kunivunjia heshima katika familia, imebidi niondoke haraka haraka kutunza hesima yangu.

Nilichoamua, ni marufuku ndugu wa kiume wa mke wangu ambaye hajazaliwa tumbo moja na ke wangu kuja nyumbani kwangu au kuleta mazoea ya ajabu.

Kitu kingine nilicho observe, watu ni waongo sana, yani huyu binamu ukimuone anavyoact like kifo kimemgusa sana lakini kumbe ni uongo, bora men ambao hawalii tu.
 
Embu eleze vizur yaani amefiwa na Bab ake ambae Ni mjomba ako wee badala aomboleze yey anataka umchakate au

Ubinamu wenu uko vipi mnk mm binamu Ni mtto wa shngazi yangu na binamu pia no mtot wa mjomba wangu kak ake na mama

Eleza wwe ubinamu uko vip
 
It is no joke, nikijua mke wangu yuko hivi, ni bora tutengane tu, tuko msibani kwa Uncle, binamu kaja na mume wake, lakini anamkwepa anataka tufanye vitu vya ajabu, huku ni kutaka kunivunjia heshima katika familia, imebidi niondoke haraka haraka kutunza hesima yangu. nilichoamua, ni marufuku ndugu wa kiume wa mke wangu ambae hajazaliwa tumbo moja na ke wangu kuja nyumbani kwangu au kuleta mazoea ya ajabu.

kitu kingine nilicho observe, watu ni waongo sana, yani huyu binamu ukimuone anavyoat like kifo kimemgusa sana lakini kumbe ni uongo, bora men ambao hawalii tu
Raha ya nanga baharini wewe
 
Embu eleze vizur yaani amefiwa na Bab ake ambae Ni mjomba ako wee badala aomboleze yey anataka umchakate au

Ubinamu wenu uko vipi mnk mm binamu Ni mtto wa shngazi yangu na binamu pia no mtot wa mjomba wangu kak ake na mama

Eleza wwe ubinamu uko vip
aliefariki ni baba yake mkubwa , mimi ni mjomba, we both share the same grands
 
.
 

Attachments

  • 198351-Hot-Tea-Vapor.gif
    198351-Hot-Tea-Vapor.gif
    963.4 KB · Views: 10
Kujitakia tuu milaana ndio maana mvua hainyeshi
Binamu hana hakili utajivunjia tuu heshima yako mkwepe
Kuna washikaji zangu wawili wanatokea bagamoyo wao wanasema wanaona hata na binamu zao na kukulana n ktu chakawaida mtu kumla mtt wa Shangazi au mjomba ..
Nilishangaaa......
 
Kuna washikaji zangu wawili wanatokea bagamoyo wao wanasema wanaona hata na binamu zao na kukulana n ktu chakawaida mtu kumla mtt wa Shangazi au mjomba ..
Nilishangaaa......
Nijambo la ajabu kweli

Inasikitisha
 
It is no joke, nikijua mke wangu yuko hivi, ni bora tutengane tu, tuko msibani kwa Uncle, binamu kaja na mume wake, lakini anamkwepa anataka tufanye vitu vya ajabu, huku ni kutaka kunivunjia heshima katika familia, imebidi niondoke haraka haraka kutunza hesima yangu. nilichoamua, ni marufuku ndugu wa kiume wa mke wangu ambae hajazaliwa tumbo moja na ke wangu kuja nyumbani kwangu au kuleta mazoea ya ajabu.

kitu kingine nilicho observe, watu ni waongo sana, yani huyu binamu ukimuone anavyoat like kifo kimemgusa sana lakini kumbe ni uongo, bora men ambao hawalii tu
Ndio mara ya kwanza au mnapashana kiporo?
Kuna vitu wanaume huwa hatuvisemi ujue
 
Back
Top Bottom