Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuelewa kuwa mama ako wew Yule bint Ni mtot wa kak ake ambayo manaitana binamu ambavyo infact mama ako HV sas amefiwa na kak ake ambae wew unamuita Ni mjomba wako si hvyo mkuu?aliefariki ni baba yake mkubwa , mimi ni mjomba, we both share the same grands
Isije kuwa wwe ndiyo binamu mwenyewe anaesemwa na mleta uzi!!?Nimekuelewa kuwa mama ako wew Yule bint Ni mtot wa kak ake ambayo manaitana binamu ambavyo infact mama ako HV sas amefiwa na kak ake ambae wew unamuita Ni mjomba wako si hvyo mkuu?
Natka San nielewe ubinamu wenu uko vip
Inatia huzuni sana mtu ananangwa humu jeiefu aisee…Amtumie tu binamu ajue anachambwa jeiefu...
Mzima kabisa aunt abiria, wakumbukwa sana...
Acha ushamba binamu kinyama cha hamu, sijui kwa nini wengine hatupati bahati kama hizi.It is no joke, nikijua mke wangu yuko hivi, ni bora tutengane tu. Tuko msibani kwa Uncle, binamu kaja na mume wake, lakini anamkwepa anataka tufanye vitu vya ajabu. Huku ni kutaka kunivunjia heshima katika familia, imebidi niondoke haraka haraka kutunza hesima yangu.
Nilichoamua, ni marufuku ndugu wa kiume wa mke wangu ambaye hajazaliwa tumbo moja na ke wangu kuja nyumbani kwangu au kuleta mazoea ya ajabu.
kitu kingine nilicho observe, watu ni waongo sana, yani huyu binamu ukimuone anavyoact like kifo kimemgusa sana lakini kumbe ni uongo, bora men ambao hawalii tu.
Hapana huyo ni wa kummega tu mtoto wa kike kama huyu anayetaka de libolo ni kumsugua nalo tuMkubalie afu mkiingia chemba mpige vibao vya maana likichwa lake hilo then akili imkae sawa....atoke huko anapiga yowe pus huyo
Mleta mada anaonekana alikuwa anamkula kitambo tu huyu binamu kabla hata hajaolewa, shida sada wapo msibani na pili binamu yupo na mumewe hilo ndio tatizo kinyume na hapo jamaa angemkula. Anatoa wapi uwezo wa kutaka kuliwa kama hawakuwa hawakuwa wakinyanduana hapo mwanzo.?Ndio mara ya kwanza au mnapashana kiporo?
Kuna vitu wanaume huwa hatuvisemi ujue
Angempa kichapo cha maanaHapana huyo ni wa kummega tu mtoto wa kike kama huyu anayetaka de libolo na kumsugua nalo tu
Shoo ya kibabe na ningemfanya kuwa chimbo langu la kula mbususu bure bila vizingaAngempa kichapo cha maana
Ha ha haa,kupunguza kichupaShoo ya kibabe na ningemfanya kuwa chimbo langu la kula mbususu bure bila vizinga
Ulijuaje 🤣🤣🤣Ha ha haa,kupunguza kichupa
Si ndo akili zako zilivyoUlijuaje 🤣🤣🤣
Hahaha mimi binamu simwachi aniletee mzigo halafu nivunge, kweli penye miti hakuna wajenziSi ndo akili zako zilivyo
Uko sahihi kabisaMleta mada anaonekana alikuwa anamkula kitambo tu huyu binamu kabla hata hajaolewa, shida sada wapo msibani na pili binamu yupo na mumewe hilo ndio tatizo kinyume na hapo jamaa angemkula. Anatoa wapi uwezo wa kutaka kuliwa kama hawakuwa hawakuwa wakinyanduana hapo mwanzo.?
.It is no joke, nikijua mke wangu yuko hivi, ni bora tutengane tu. Tuko msibani kwa Uncle, binamu kaja na mume wake, lakini anamkwepa anataka tufanye vitu vya ajabu. Huku ni kutaka kunivunjia heshima katika familia, imebidi niondoke haraka haraka kutunza hesima yangu.
Nilichoamua, ni marufuku ndugu wa kiume wa mke wangu ambaye hajazaliwa tumbo moja na ke wangu kuja nyumbani kwangu au kuleta mazoea ya ajabu.
Kitu kingine nilicho observe, watu ni waongo sana, yani huyu binamu ukimuone anavyoact like kifo kimemgusa sana lakini kumbe ni uongo, bora men ambao hawalii tu.