Binamu kaja na mumewe msibani lakini analazimisha tuchepuke

Binamu kaja na mumewe msibani lakini analazimisha tuchepuke

aliefariki ni baba yake mkubwa , mimi ni mjomba, we both share the same grands
Nimekuelewa kuwa mama ako wew Yule bint Ni mtot wa kak ake ambayo manaitana binamu ambavyo infact mama ako HV sas amefiwa na kak ake ambae wew unamuita Ni mjomba wako si hvyo mkuu?

Natka San nielewe ubinamu wenu uko vip
 
Nimekuelewa kuwa mama ako wew Yule bint Ni mtot wa kak ake ambayo manaitana binamu ambavyo infact mama ako HV sas amefiwa na kak ake ambae wew unamuita Ni mjomba wako si hvyo mkuu?

Natka San nielewe ubinamu wenu uko vip
Isije kuwa wwe ndiyo binamu mwenyewe anaesemwa na mleta uzi!!?
 
Mkubalie afu mkiingia chemba mpige vibao vya maana likichwa lake hilo then akili imkae sawa....atoke huko anapiga yowe pus huyo
 
Amtumie tu binamu ajue anachambwa jeiefu...

Mzima kabisa aunt abiria, wakumbukwa sana...
Inatia huzuni sana mtu ananangwa humu jeiefu aisee…

Unakumbukwa sana kipande hii anko dereva

😊😊
 
A
It is no joke, nikijua mke wangu yuko hivi, ni bora tutengane tu. Tuko msibani kwa Uncle, binamu kaja na mume wake, lakini anamkwepa anataka tufanye vitu vya ajabu. Huku ni kutaka kunivunjia heshima katika familia, imebidi niondoke haraka haraka kutunza hesima yangu.

Nilichoamua, ni marufuku ndugu wa kiume wa mke wangu ambaye hajazaliwa tumbo moja na ke wangu kuja nyumbani kwangu au kuleta mazoea ya ajabu.

kitu kingine nilicho observe, watu ni waongo sana, yani huyu binamu ukimuone anavyoact like kifo kimemgusa sana lakini kumbe ni uongo, bora men ambao hawalii tu.
Acha ushamba binamu kinyama cha hamu, sijui kwa nini wengine hatupati bahati kama hizi.

Ningemla safi na shoo ningempa ya kiwango cha juu
 
Ndio mara ya kwanza au mnapashana kiporo?
Kuna vitu wanaume huwa hatuvisemi ujue
Mleta mada anaonekana alikuwa anamkula kitambo tu huyu binamu kabla hata hajaolewa, shida sada wapo msibani na pili binamu yupo na mumewe hilo ndio tatizo kinyume na hapo jamaa angemkula. Anatoa wapi uwezo wa kutaka kuliwa kama hawakuwa hawakuwa wakinyanduana hapo mwanzo.?
 
Mleta mada anaonekana alikuwa anamkula kitambo tu huyu binamu kabla hata hajaolewa, shida sada wapo msibani na pili binamu yupo na mumewe hilo ndio tatizo kinyume na hapo jamaa angemkula. Anatoa wapi uwezo wa kutaka kuliwa kama hawakuwa hawakuwa wakinyanduana hapo mwanzo.?
Uko sahihi kabisa
 
It is no joke, nikijua mke wangu yuko hivi, ni bora tutengane tu. Tuko msibani kwa Uncle, binamu kaja na mume wake, lakini anamkwepa anataka tufanye vitu vya ajabu. Huku ni kutaka kunivunjia heshima katika familia, imebidi niondoke haraka haraka kutunza hesima yangu.

Nilichoamua, ni marufuku ndugu wa kiume wa mke wangu ambaye hajazaliwa tumbo moja na ke wangu kuja nyumbani kwangu au kuleta mazoea ya ajabu.

Kitu kingine nilicho observe, watu ni waongo sana, yani huyu binamu ukimuone anavyoact like kifo kimemgusa sana lakini kumbe ni uongo, bora men ambao hawalii tu.
.
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
 
Back
Top Bottom