Binamus na Wapwaz-Nawatakia Heri ya Xmass na Mwaka Mpya 2011

Binamus na Wapwaz-Nawatakia Heri ya Xmass na Mwaka Mpya 2011

Status
Not open for further replies.

Regia Mtema

R I P
Joined
Nov 21, 2009
Posts
2,970
Reaction score
866
Wapwaz na binamuz wote.Ni matumaini yangu kuwa wote mko salama na wengine wako mapumzikoni/ baada ya safari ndefu ya mwaka mzima.

Mwaka ndio unaelekea ukingoni naamnini wengi tumejifunza mengi kwa mwaka unaoisha.Mwaka huu nimebahatika kufahamaniana na wapwaz na binamuz wengi kupitia jukwaa hili,wengine tumeonana ana kwa ana,wengine tunawasiliana kwa simu hivyo tunafahamiana kwa sauti tu.Wengine pia tunafahamiana kwa njia ya posts na mawasiliano mengine.

Zaidi ya kufahamiana wengine tumekuwa very good friends and am happy for that. Ulikuwa mwaka mzuri kwangu!!!

Basi nipende kuchukua fursa hii kuwatakia heri ya xmass na mwaka mpya 2011 uliojaa mafanikio na matumaini bora.

Merry Xmass and Happy New year!!!

Always With love
Regia
 
Merry X-mass to you too and enjoy this festive season peacefully

Uje mjini upate champagne na wewe......
 
Wapwaz na binamuz wote.Ni matumaini yangu kuwa wote mko salama na wengine wako mapumzikoni/ baada ya safari ndefu ya mwaka mzima.Mwaka ndio unaelekea ukingoni naamnini wengi tumejifunza mengi kwa mwaka unaoisha.Mwaka huu nimebahatika kufahamaniana na wapwaz na binamuz wengi kupitia jukwaa hili,wengine tumeonana ana kwa ana,wengine tunawasiliana kwa simu hivyo tunafahamiana kwa sauti tu.Wengine pia tunafahamiana kwa njia ya posts na mawasiliano mengine.Zaidi ya kufahamiana wengine tumekuwa very good friends and am happy for that. Ulikuwa mwaka mzuri kwangu!!!

Basi nipende kuchukua fursa hii kuwatakia heri ya xmass na mwaka mpya 2011 uliojaa mafanikio na matumaini bora.

Merry Xmass and Happy New year!!!

Always With love
Regia

Hivi ww ndiye mbunge wa CHADEMA au jina tu??
 
heri ya x mass muheshimiwa......dereva umepata? nina class c
 
Merry X-mass to you too and enjoy this festive season peacefully

Uje mjini upate champagne na wewe......

Acid,nimetoka mjini muda mfupi uliopita..Nitakutafuta kesho,hiyo champagne ni non alcoholic?mi situmii ile nyingine..
 
Regia kila la heri muheshimiwa nasi tunakutakia sikukuu njema wewe na familia yako my dear
 
Ningefurahi kama ningeona pm yako ya ukaribisho wa xmas!!maana ukianika hapa watajaa ila kwakuwa kupanga nikuchagua heri ya xmas naomba nikukaribishe xmas Kama utakuja pm!
 
Wapwaz na binamuz wote.Ni matumaini yangu kuwa wote mko salama na wengine wako mapumzikoni/ baada ya safari ndefu ya mwaka mzima.Mwaka ndio unaelekea ukingoni naamnini wengi tumejifunza mengi kwa mwaka unaoisha.Mwaka huu nimebahatika kufahamaniana na wapwaz na binamuz wengi kupitia jukwaa hili,wengine tumeonana ana kwa ana,wengine tunawasiliana kwa simu hivyo tunafahamiana kwa sauti tu.Wengine pia tunafahamiana kwa njia ya posts na mawasiliano mengine.Zaidi ya kufahamiana wengine tumekuwa very good friends and am happy for that. Ulikuwa mwaka mzuri kwangu!!!

Basi nipende kuchukua fursa hii kuwatakia heri ya xmass na mwaka mpya 2011 uliojaa mafanikio na matumaini bora.

Merry Xmass and Happy New year!!!

Always With love
Regia

Mh nitakuwa pale Mbega Resort Kibaoni nikibariki pombe! Bila shaka utapitia kulipa bill zetu mh!

Heri ya Krisimasi na Mwaka mpya, Awija mama
 
Asante bi. regia!

karibu wine ya ndizi, huku pande za milimani..
 
Asante Mhe. Regia
Kwenye mihangaiko yangu nilipita kule kwako aisee unakubalika muno. Nway kwa mujibu wa babu dark city nakutakia sikukuu na mapumziko yenye AMANI, FURAHA NA RAHA
 
Select capable men from all the people--men who fear God, trustworthy men who hate dishonest gain--and appoint them as officials over thousands, hundreds, fifties and tens. (Exod 18.21,) ninaimani wewe pia ni chaguo la bwana wa majeshi,mungu akuangazie dada yangu regia nakuwa na amani ya bwana katika sikukuu hii ya krismass. mungu awabariki wote.ahsanteni
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom