Binamus na Wapwaz-Nawatakia Heri ya Xmass na Mwaka Mpya 2011

Binamus na Wapwaz-Nawatakia Heri ya Xmass na Mwaka Mpya 2011

Status
Not open for further replies.
heri ya xmas na mwaka mpya 2011 mpendwa....uwe na wakati mzuri katika kipindi hiki cha sikukuu
 
heri ya xmas na mwaka mpya 2011 mpendwa....uwe na wakati mzuri katika kipindi hiki cha sikukuu

We Preta we sisi wengine tukianza kudadavua hii signature kijukwaa na bondeni tunakwazika kidogo....

"Make love, not war....on this christmas"
 
heri ya x mass muheshimiwa......dereva umepata? nina class c

Mmmhh....!!!!!!!!! :hug::kiss: tunaogopa utakwenda huku, ana dereva Class C mwanamke tayari, labda utamwendesha Lema anatafuta dereva
 
Wapwaz na binamuz wote.Ni matumaini yangu kuwa wote mko salama na wengine wako mapumzikoni/ baada ya safari ndefu ya mwaka mzima.Mwaka ndio unaelekea ukingoni naamnini wengi tumejifunza mengi kwa mwaka unaoisha.Mwaka huu nimebahatika kufahamaniana na wapwaz na binamuz wengi kupitia jukwaa hili,wengine tumeonana ana kwa ana,wengine tunawasiliana kwa simu hivyo tunafahamiana kwa sauti tu.Wengine pia tunafahamiana kwa njia ya posts na mawasiliano mengine.Zaidi ya kufahamiana wengine tumekuwa very good friends and am happy for that. Ulikuwa mwaka mzuri kwangu!!!

Basi nipende kuchukua fursa hii kuwatakia heri ya xmass na mwaka mpya 2011 uliojaa mafanikio na matumaini bora.

Merry Xmass and Happy New year!!!

Always With love
Regia



Thanx Regia, Marry Christmas and the best wishes for the new year 2011
 
Mmmhh....!!!!!!!!! :hug::kiss: tunaogopa utakwenda huku, ana dereva Class C mwanamke tayari, labda utamwendesha Lema anatafuta dereva
Lema anakomaa mwenyewe kwenye usukani na Landrover Defender lake...Sijui kama atahitaji dereva huyu...he is too young to be driven you know... save the protocal specs!

Regia, binafsi nakutakia afya na uzima tele kwenye sherehe hizi za Krismas..Uwe mmojawapo katika wabarikiwa!
Lakini zaidi napata amani sana kila nionapo bandiko lako au kubahatikakuongea na wewe...bblessed dadaangu.
 
Wapwaz na binamuz wote.Ni matumaini yangu kuwa wote mko salama na wengine wako mapumzikoni/ baada ya safari ndefu ya mwaka mzima.Mwaka ndio unaelekea ukingoni naamnini wengi tumejifunza mengi kwa mwaka unaoisha.Mwaka huu nimebahatika kufahamaniana na wapwaz na binamuz wengi kupitia jukwaa hili,wengine tumeonana ana kwa ana,wengine tunawasiliana kwa simu hivyo tunafahamiana kwa sauti tu.Wengine pia tunafahamiana kwa njia ya posts na mawasiliano mengine.Zaidi ya kufahamiana wengine tumekuwa very good friends and am happy for that. Ulikuwa mwaka mzuri kwangu!!!

Basi nipende kuchukua fursa hii kuwatakia heri ya xmass na mwaka mpya 2011 uliojaa mafanikio na matumaini bora.

Merry Xmass and Happy New year!!!

Always With love
Regia



Thank you very much Dada Regia. Heri ya Christmas na Mwaka Mpya na kwako pia

Tunakuombea afya njema kuanza kutekeleza majukumu yako kwa mwaka wa 2011
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom