DAKA MTUMBA
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 1,288
- 801
Mchawi wa simba ni omog na manulaSimba imevuliwa ubingwa wa Kombe la Shirikisho baada ya kufungwa kwa penalti 4-3 dhidi ya Green Worriors inashiriki Ligi Daraja la Pili.
Mechi hiyo iliyochezwa kwenye Uwanja wa Azam Complex, iliisha kwa sare ya mabao 1-1 kwa dakika 90
Baada ya hapo iliamualiwa kwa mikwaju ya penalti na wachezaji watatu wa Simba, Muzamiru Yassin, Hussein Zimbwe ’Tshabalala’ na Jonas Mkude walikosa penalti zao.
Kipa Aishi Manula wa Simba na Shabani Dihile walijipangua mikwaju ya penalti
Simba imevuliwa ubingwa wa Kombe la Shirikisho baada ya kufungwa kwa penalti 4-3 dhidi ya Green Worriors inashiriki Ligi Daraja la Pili.
Mechi hiyo iliyochezwa kwenye Uwanja wa Azam Complex, iliisha kwa sare ya mabao 1-1 kwa dakika 90
Baada ya hapo iliamualiwa kwa mikwaju ya penalti na wachezaji watatu wa Simba, Muzamiru Yassin, Hussein Zimbwe ’Tshabalala’ na Jonas Mkude walikosa penalti zao.
Kipa Aishi Manula wa Simba na Shabani Dihile walijipangua mikwaju ya penalti
Na timu ya daraja la 2Ndio tumetolewa lakini kwa mbinde.
Kauli ya kujifariji hiiNdio tumetolewa lakini kwa mbinde.
Ndio ni kweli madogo wametubaka ila kwa mbinde sana.[emoji28] [emoji28]Ndio tumetolewa lakini kwa mbinde.
Kwa hiyo mechi na Green Worriors mpira ulidundia wapi? Nieleze tafadhali ili roho yangu ipate amaniMan United katolewa na Bristol City tena ndani ya dak 90,kikosi cha man u ni mara kumi ya kikosi cha bristol city,mpira unadunda inategemea utadundia upande upi kati,kulia,au kushoto
Sio kwa soka la bongo aisee!!tukichunguza bristol city utakuta wachezaji wengi tu wenye uzoefu wa mashindano ya kimataifa hata ya mashindan ya vijana kwa bongo timu nyingi za ligi daraja la chini kuanzia la pili mpaka nne nitimu zilizo disorganized!!no excue kwahili wataniMan United katolewa na Bristol City tena ndani ya dak 90,kikosi cha man u ni mara kumi ya kikosi cha bristol city,mpira unadunda inategemea utadundia upande upi kati,kulia,au kushoto
Kwa hiyo mmeamua kuwaunga mkono man u?Man United katolewa na Bristol City tena ndani ya dak 90,kikosi cha man u ni mara kumi ya kikosi cha bristol city,mpira unadunda inategemea utadundia upande upi kati,kulia,au kushoto
Hahahaha mbumbumbu fc wanajiroga wenyeweMchawi wa simba ni omog na manula