nenda kachunguze halafu uje hapa unitajie hata mmojaSio kwa soka la bongo aisee!!tukichunguza bristol city utakuta wachezaji wengi tu wenye uzoefu wa mashindano ya kimataifa hata ya mashindan ya vijana kwa bongo timu nyingi za ligi daraja la chini kuanzia la pili mpaka nne nitimu zilizo disorganized!!no excue kwahili watani
9999
Timu ya daraja la pili? Kweli Simba ni mikia sc.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio tumetolewa lakini kwa mbinde.
Nimecheka mpaka nimetundikiwa drip.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Timu inavuliwa ubingwa mechi ya kwanza tu. Bongo mpira umekua sana.
Ili kulinda hadhi yao, Simba waende wakate rufaa FIFA. Karia na Wambura hakikisheni hilo linafanyika.
African Lyon nayo hoi.Kwahiyo ule uwekezaji wenu wa mabilioni ndio huu wa kufungwa na timu ya daraja la pili?
Katika watu watatu wenye nuksi na mpira wa Tanzania basi MOOOO ni miongoni mwao, alishajifanya kuisadia Singida United akaiua kifo cha mvuvi na sasa kaja kuitia gundu Tope Fc, pumbaaaavu Tope Fc midomo imewaponza
Ina maana hawajui kutuliza.Man United katolewa na Bristol City tena ndani ya dak 90,kikosi cha man u ni mara kumi ya kikosi cha bristol city,mpira unadunda inategemea utadundia upande upi kati,kulia,au kushoto
Kwani yanga naye katolewa?Mlisha ambiwe siku nyingu tu kuwa Simba na Yanga ni majina tu, si lolote si chochote. We umeona wapi timu inaongozwa na Mze mmoja au wanaharakati fulani ili ipate ushindi? Time has come hizi timu zife tu.
Ndio tumetolewa lakini kwa mbinde.
Mfananisho wako ungekuwa sahihi kama Simba angekuwa bado ni bingwa Kombe la Shirikisho la Afrika kama Man U alivyo bado bingwa wa Kombe la UEFA.Man United katolewa na Bristol City tena ndani ya dak 90,kikosi cha man u ni mara kumi ya kikosi cha bristol city,mpira unadunda inategemea utadundia upande upi kati,kulia,au kushoto
Mchawi ni viongozi wenu wa timuMchawi wa simba ni omog na manula
man u bingwa wa uefa ama ueropa kijana??sisi tunazungumzia kutolewa FA hata Man u katolea kwenye kombe hilohiloMfananisho wako ungekuwa sahihi kama Simba angekuwa bado ni bingwa Kombe la Shirikisho la Afrika kama Man U alivyo bado bingwa wa Kombe la UEFA.
Ndio umeandika nini hapa? mpira unadunda kushoto?Man United katolewa na Bristol City tena ndani ya dak 90,kikosi cha man u ni mara kumi ya kikosi cha bristol city,mpira unadunda inategemea utadundia upande upi kati,kulia,au kushoto
Mkuu kula like kubwa sana. Umenichekesha mpaka watu wamenishangaa!!!Wameuza bidhaa bila ridhaa ya wenye timu yao. Kila mechi ni kichapo hadi Mo atimke!
Na wakitoka mapema shirikisho si itakua kala hasara ?Wameuza bidhaa bila ridhaa ya wenye timu yao. Kila mechi ni kichapo hadi Mo atimke!