Mkuu mechi ni usiku ukumbuke kupita njia hii tena..madrid anapita bila kupingwa..
Aguero ni mchezaji mzuri hasa De bruyne ndio mwenye madhara sana na sio mbinafsi kama huyo Aguero ila madrid ina wakina Aguero wengi sana nadhani utakua umeniekewaHaya mkuu tuone...maana aguero akipata chance habahatishi
Hapana.Bayern Munich vs man city fainali na wasiwasi itakuwa hivyo
kaka hao atletico madrid nawafananisha na yanga. ni wakali balaa wamemtoa bayernHapana.
duu yaani Atletico uwafananishe na Yanga...Yanga wamemtoa nani mkuukaka hao atletico madrid nawafananisha na yanga. ni wakali balaa wamemtoa bayern
wanavyo gawa kichapo. naona madrid uso kwa uso na atleticoduu yaani Atletico uwafananishe na Yanga...Yanga wamemtoa nani mkuu
kwa ufupi wewe ni mtabiri HEWA, JITUMBUE KABLA HATUJAKUTUMBUA!Bayern Munich vs man city fainali na wasiwasi itakuwa hivyo
utakuwa hujui kusoma vizuri. rudia kusoma nimeandika nina 'wasiwasi' alafu ilikuwa tarehe 16 apr. wewe umekuja kupinga leo tar 5 may. kwanini usipinge siku ile. sababu uliamini wasiwasi wangukwa ufupi wewe ni mtabiri HEWA, JITUMBUE KABLA HATUJAKUTUMBUA!