Majighu2015
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,937
- 3,959
Wewe kweli hufwatilii premier..Angalia vizuri ligi ilivyoisha mwaka jana kati ya Arsenal na Tottenham nani alikua juu ya mwenzio. Huo utabiri wako ni feki. Arsenal hata mfanyaje hawezi kutoka top fourIlitokea mwaka jana rafiki na mwaka huu itatokea tena
acha kukurupuka basi umesoma vzr nilichoandika hapo juuAcha uongo wewe arsenal alikua juu ya Tottenham
Ni kweli wadau kwa msimamo wa mwaka jana Arsenal alimaliza wa pili nadhani ilo sikuliweka sawa ila haimaanishi mwaka huu atamaliza top 4.Ni vizuri wakati mwingine kukubali hali halisi...Wewe kweli hufwatilii premier..Angalia vizuri ligi ilivyoisha mwaka jana kati ya Arsenal na Tottenham nani alikua juu ya mwenzio. Huo utabiri wako ni feki. Arsenal hata mfanyaje hawezi kutoka top four
Msimu uliopita Tottenham Spurs ilikamata nafasi ya ngapi...?HAPO KWENYE TOTTEHAM NDO UMENIFANYA NIFELISHE UPEMBUZI WAKO HAIJAWAHI TOKEA KWA MIAKA MENGI SANA TOTTENHAM KUWA JUU YA ARSENAL .WEWE UTAKUA CHELSEA NDO WENYE DREAM KAMA ZAKO.
Safari hii anaweza hakatoka top 4Wewe kweli hufwatilii premier..Angalia vizuri ligi ilivyoisha mwaka jana kati ya Arsenal na Tottenham nani alikua juu ya mwenzio. Huo utabiri wako ni feki. Arsenal hata mfanyaje hawezi kutoka top four
Kama kuna ka ukweli fulani ivi but ngoja tusubiri mpa April tutakuwa tumejua ukweliStandings as at 21.05.2017
1. Chelsea
2. Tottenham
3. Liverpool
4. Man United
5 Man. City
6 Arsenal
Nimejaribu kufanya upembuzi 'match by match' na kutokana na uzoefu wangu wa kufuatilia ligi ya Uingereza tokea mwaka 1992 Enzi za kina Hughes e.t.c ninasikitika kuwataarifu wapenzi wa Arsenal na Man City kuwa msimamo wa ligi mwaka huu utamalizika hivi....Usitukane wala kulaumu na wewe fanya upembuzi wako uje na majibu. Mimi nimeangalia mechi 18@zilizobakia kwa kila timu kwa kulinganisha nani anacheza na nani bila kuangalia saana historia ya nyuma...ASANTE .EPL oyeeee...
Tatizo lenu watu wa arsenal huwa hamuamini this time mambo yanaweza kuchange.HAPO KWENYE TOTTEHAM NDO UMENIFANYA NIFELISHE UPEMBUZI WAKO HAIJAWAHI TOKEA KWA MIAKA MENGI SANA TOTTENHAM KUWA JUU YA ARSENAL .WEWE UTAKUA CHELSEA NDO WENYE DREAM KAMA ZAKO.
Hii inaweza tokea usiamini sana historia mkuuBraza toka naanza kuujua mpira kuona arsenal ipo nje ya top 4 anza upya kuota ndoto yako
.
.
.
Kyenekyaka mkighanile une
mwaka huu tunamaliza hivi!-Standings as at 21.05.2017
1. Chelsea
2. Tottenham
3. Liverpool
4. Man United
5 Man. City
6 Arsenal
Nimejaribu kufanya upembuzi 'match by match' na kutokana na uzoefu wangu wa kufuatilia ligi ya Uingereza tokea mwaka 1992 Enzi za kina Hughes e.t.c ninasikitika kuwataarifu wapenzi wa Arsenal na Man City kuwa msimamo wa ligi mwaka huu utamalizika hivi....Usitukane wala kulaumu na wewe fanya upembuzi wako uje na majibu. Mimi nimeangalia mechi 18@zilizobakia kwa kila timu kwa kulinganisha nani anacheza na nani bila kuangalia saana historia ya nyuma...ASANTE .EPL oyeeee...
Hata historia hujui then unasema unafuatilia toka 92.Ilitokea mwaka jana rafiki na mwaka huu itatokea tena
Uckurupuke mshabiki wa Arsenal,nilisharekebisha hiyo statement kuwa Arsenal ndo mshindi wa pili nyuma ya Leicester mwaka jana na kwa bahati mbaya woote wawili mwaka huu hawatakuwemo kwenye top 4.what a pity!sio mimi ila numbers ndo zinavyosemaHata historia hujui then unasema unafuatilia toka 92.