Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,296
- 18,027
Wana bodi
Sasa hivi inaeleweka kuwa bingwa wa VPL ndiyo mwakilishi wa nchi kwenye club bingwa ya Afrika wakati bingwa wa kombe la FA ndiyo mwakailishi kwenye kombe la CAF.
Je ikitokea bingwa wa VPL ndiyo huyo huyo bingwa wa kombe la FA mwakilishi wetu kombe la CAF atapatikana vipi? Wenye kujua kanuni tafadhali !
Sasa hivi inaeleweka kuwa bingwa wa VPL ndiyo mwakilishi wa nchi kwenye club bingwa ya Afrika wakati bingwa wa kombe la FA ndiyo mwakailishi kwenye kombe la CAF.
Je ikitokea bingwa wa VPL ndiyo huyo huyo bingwa wa kombe la FA mwakilishi wetu kombe la CAF atapatikana vipi? Wenye kujua kanuni tafadhali !