Bingwa wa Nchi hii Simba Sc ina jambo lake leo mchana wa saa 8

Bingwa wa Nchi hii Simba Sc ina jambo lake leo mchana wa saa 8

mi ni Simba damu lkni kusema uongozi umemsajili Morrison naungana nawe kwa hayo matusi, mchezaji gani huyu. anasajiliwa simba kwa kipi, acheze nafasi gani?
Tena ni upumbavu wa hali ya juu. Mchezaji mshenzi kama huyo unamletaje Simba? Pumbavu zako Mo Dewji! Pumbavu zako Kiongozi yoyote wa Simba aliyekubali kumleta mpumbavu Morrison Simba!
 
Nani ahonge timu mbovu mmeacha wachezaji kibao kudhiilisha ubovu wa timu yenu
Morrison na Shishimbi kama mlikuwa mnawasiliana nao na mkawapa mpaka kishika uchumba, kwanini tusiamn kama ile game mliwahonga wacheze chini ya kiwango!
 
Yote ongeeni ila mimi wachezaji wanao niuma ni Ajibu,Gadiel na Kakolanya.
Wanapata pesa sawa lakini vipaji vina enda kuisha kabisa maana wanacheza dk kadhaa tu.
shauri basi kocha afanye nini?maana Ajibu kapewa nafasi nyingi tu za kucheza. Hakuna maajabu,Kakolanya yupo fiti ila kikosi hakiwezi kuwa na kipa wote namba 1. Hawawezi kuchezeshwa kuwafurahisha watu wachache
 
mi ni Simba damu lkni kusema uongozi umemsajili Morrison naungana nawe kwa hayo matusi, mchezaji gani huyu. anasajiliwa simba kwa kipi, acheze nafasi gani?
kibaya zaidi ni nafasi anayocheza,imejaa vipaji. hapo tayari nafasi ya kusajiri pro imepungua. Simba wamekuwa wapuuzi kwa hili
 
Mimi nilikataa toka muda kuongelea usajili wa timu yetu kwakweli, ni kukaa kimya tu!! Hakuna asiejua mapungufu tulio nayo kwenye kikosi, ila kikubwa ni kutulia tu!! Hatuna jinsi
 
shauri basi kocha afanye nini?maana Ajibu kapewa nafasi nyingi tu za kucheza. Hakuna maajabu,Kakolanya yupo fiti ila kikosi hakiwezi kuwa na kipa wote namba 1. Hawawezi kuchezeshwa kuwafurahisha watu wachache
Warudi Yanga
 
Morrison na Shishimbi kama mlikuwa mnawasiliana nao na mkawapa mpaka kishika uchumba, kwanini tusiamn kama ile game mliwahonga wacheze chini ya kiwango!
Siku zote hamkosi sababu zisizo za kimpira ndio maana kocha wenu alisema mashabiki wa utopolo hawajui kitu uneducated wako kama manyani kazi kubweka sasa hivi kila mtu anaona alikuwa sahihi
 
Siku zote hamkosi sababu zisizo za kimpira ndio maana kocha wenu alisema mashabiki wa utopolo hawajui kitu uneducated wako kama manyani kazi kubweka sasa hivi kila mtu anaona alikuwa sahihi
hapa ni nan uneducated, kama umek wepa hoja na kubwabwaja kama kuku aliyekatwa kichwa.
 
Maneno ya mkosaji hayo!!! Yaani badala ya kuwaona viongozi wenu ndio wendawazimu kwa kuwadanganya mnamuona morison ndio mwendawazimu?!!!
Ndio maana wakaitwa utopolo kiongozi, uwezo wa kufikiria mdogo. Hapo ilbidi wadili na viongozi kwann wanakuwa wajanjawajanja kwenye hiyo timu? Mnaishia kulaumu mtu anayetafuta maisha yake mazuri katika soka.
 
Back
Top Bottom