changaule
JF-Expert Member
- Jan 10, 2020
- 6,039
- 10,151
Kwa michezo kadhaa niliyofuatilia msimu huu, naona bingwa wa msimu huu atakuwa kati ya Bayern Munich au Liverpool.
Kwa upande wa Liverpool itategemea endapo hatakutanishwa na waingereza wenzie maana anaweza kumsumbua kwavile wanajuana.
Update:
Thread closed, Real Madrid bingwa wa UEFA champions league 2021/2022
Tukutane msimu mpya wa 2022/2023.
Kwa upande wa Liverpool itategemea endapo hatakutanishwa na waingereza wenzie maana anaweza kumsumbua kwavile wanajuana.
Update:
Thread closed, Real Madrid bingwa wa UEFA champions league 2021/2022
Tukutane msimu mpya wa 2022/2023.