Yellow bone
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 256
- 329
- Thread starter
-
- #21
weza nikakutumia mkuu..njoo inboxHii ingeweza kunisaidia kazi yangu moja, mikoani unaweza kutuma
Sio kila kitu wewe unakazi nacho wenye kazi nayo watafika wataelewana biashara
Hili la kuona km62 kwa binocular ni uongo zaidi ya kiwango cha SGR. Upate nini ukidanganya watu, upate soko ili uiuze?Mkuu kama unaendesha gar...sehem ambayo unaweza safir kwa masaa 2 mpaka 5 unauwezo wakuona vyema sana sehem hiyo kama umesimama mahal pajuu..hivyo kama ni straight..tuseme umesimama kwenye ghorofa...na pengine unataka uwamulike trafik wa torch km 62 mbele basi you can see them...
shukran sn mkuu kwa hili...Mkuu kama unaendesha gar...sehem ambayo unaweza safir kwa masaa 2 mpaka 5 unauwezo wakuona vyema sana sehem hiyo kama umesimama mahal pajuu..hivyo kama ni straight..tuseme umesimama kwenye ghorofa...na pengine unataka uwamulike trafik wa torch km 62 mbele basi you can see them...
Ni kama tu dharau!
!
Kuuliza sio ujinga