Binti akataa kuja tena kulala kwangu, kisa aling'atwa na mbu

Kuna kosa lingine pia la uandishi katika title yake, inanishangaza nyie wote mmeona moja tu. Au ndo kufata upepo!![emoji124]

sio lazima tukosoe yote! atapata pressure na sheli bure.
 
sasa unataka ushauri gani we dogo... achana na wanawake soma boya wewe..!!!
 
"uzuri wa kupanga chumba kimoja, ukiamka asubuhi unaziona mali zako zote kwa pamoja"
 
We tahira kwelikweli ina maana we hukupata net za msaada kutoka usaid.mi binafsi niko single nilipata mbili moja nalalia mimi nyingine nmemfungia paka wangu asingatwe na umbu.
Una haki ya kuchekesha but not to that extent mkuu!!
 
mwenzio alitegemea atang'atwa na nyuki akaishia kung'atwa na mbu hehehe ndo maana kaona isiwe tabu
 
Sasa hata net huna huyo atakuwa mjinga kiasi gani kurudi?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…