Binti aliyefutiwa deni Mloganzila aliwahi kuosha magari kutafuta ada

Binti aliyefutiwa deni Mloganzila aliwahi kuosha magari kutafuta ada

Maisha hayana mlingano toka enzi za kina suleimani hivyo haya mambo hayatakaa kuisha
 
Write your reply...Hiyo ni sample tu visa kama hivi vipo vingi sana watu hawaongei tu mbaya zaidi SIRIKALI ikitoa mpunga wa watu kama hawa kuna walaji original wanaipiga mhhhh aliyesema Tunaongoza kwa huzuni hakukosea.
 
Serikali ianzishe mfuko wa kusaidia watu wasiojiweza...
Sasa si afadhali huyo ana maono, hayo tu amshukuru Mungu! amefikia pazuri bana!! kuna watu hukooo yaani ni funza tupu! hajui km kuna kitu shule! japa ana akili!

wengine wanabaniwa na Mam zao wa kambo/shangazi zao kabisaaa! hawajui waanzie wapi!....waende wapi, wafanye nini...wanarogwa usiku na mchana wasitoboe japo wanauza dagaa!

huyo ashukuru Mungu wachawi/wanga wa ukoo hawaja muona, mambo zake zinavoooenda! ajikaze tu asonge kivyovyote! hana mkono wa mtu......wengine kusaidia mpaka uondoe mikono ya watu!
 
Unashangaa kuosha magari ndugu?? mbona hiyo kazi nzuri kabisa, hiyo ya mujini!! watu walifanya u -house Boy ili wasome!......walikuwa vibarua wakulima wa mashamba ili wapate Nauri tu!

walisoma shule kaptura zao zimechanika matakoni nje kabisaa km hayawani! na kuchekwa juu! kuzomewaa na wenzao walivyokuwa nusu uchi! (JOSE) hawana sabuni ya kuogea,

hata ya kufulia nguo zao tu!..hata hawakujua maana ya kusoma, walienda tu ili kukwepa kazi nyingi back home!..wakila mlo safi na mtamuuu sana ni dagaa wa kuchemsha watakula hao!! heee!!

...ngozi ilikakamaa ajili ya kujikuna chawa, wanalala pachafuuuu! Utitiri ni usiombe wanalala na kuku! maisha ya Mbwa ana afadhali!.....lkn leo ukiwaona ni utashangaa Madaktari, wafanya biashara, matajiri!

sometimes unawaza mtoto wa maskini ana afadhali kubwa kuliko hawa wtoto wa hivi!
 
Back
Top Bottom