Binti aliyeonesha dalili za kunipenda kaniruka futi mia baada ya kumtongoza

Binti aliyeonesha dalili za kunipenda kaniruka futi mia baada ya kumtongoza

Hivi Viumbe kuvielewa ni kazi sana, Mimi yamenikuta sana tu hayo, yaani unakuta amejaa na kila dalili ya kuonesha kuwa anakupenda tena kimapenzi, unaona hakuna sababu ya kumkalia kimya na kuamua kumfungukia, matokeo yake anakutolea mbavuni..
Tengeneza mazingira ya kula tunda kimasihala. Ukimtongoza atakusumbua tena zaidi ya usumbufu wa demu ambae hakukuonyesha dalili kabisa.
 
Jamaa alikua amesha image na style za kumkaza [emoji1787][emoji1787]
 
Dah nimecheka [emoji3][emoji3]
Watu mpaka leo bado mnatongoza? Hapo ilibidi ule kimasihara kwisha habari!
 
Ni hayo tu wakuu. Wanawake ni viumbe wasiojua wanataka nini. Nimeaibika sana asubuhi ya leo. Uso wote umefubaa, hata huruma hakuona, tena hadharani😭

Nimeonekana mjinga wa Mwisho. Ee Mola, ni nini hiki ulituumbia?😭
Ulijuaje ana dalili za kukupenda?
 
Ni hayo tu wakuu. Wanawake ni viumbe wasiojua wanataka nini. Nimeaibika sana asubuhi ya leo. Uso wote umefubaa, hata huruma hakuona, tena hadharani😭

Nimeonekana mjinga wa Mwisho. Ee Mola, ni nini hiki ulituumbia?😭
Dawg! 💀
 
Hivi nyie wavulana wa JF mtaacha lini nyuzi zenu za kulialia na kusimp

Grow up acheni tabia za kimama

Mbona wanawake wengi tunawatomba na kuwaacha hatuoni nyuzi zao za kulalamika?

Dunia haijawahi kuwa lelemama kwa mwanaume

Jifunzeni kukaza mtakuja kupakatwa
Uko sahihi kbsa ,Yani hata wakijamba wanakuja kuandika nyuzi
 
Back
Top Bottom