Sasa huyo mwanaume si ashukuru ameepushwa na KibakaHivi mwanamke ni kiumbe wa namna gani? Kumbe wanashawishika kirahisi.
Kuna binti Wa miaka 23 katolewa mahari na amesha tangaza na uchumba kabisa ila chakushangaza katoroka na mwanaume mwingine na haijulikani wako maeneo gani kwa sasa.
Kama jamaa alilazimisha kwa namna yoyote ile hayo ni matokeo. Ila kama binti alikubali halaf akasepa, adai mahari yake, and asijiigize kwenye mahusiano yoyote mpaka atakapo heal.Hivi mwanamke ni kiumbe wa namna gani? Kumbe wanashawishika kirahisi.
Kuna binti Wa miaka 23 katolewa mahari na amesha tangaza na uchumba kabisa ila chakushangaza katoroka na mwanaume mwingine na haijulikani wako maeneo gani kwa sasa.
Kisu kipi hapo mbona mwenye kutoa hata mahari ndiyo ameona mataa tuMwenye kisu kikali ndio hula nyama , hii ipo tangu kale hizo.
Wewe huyo Mamchagaa🙂🙂🤣🤣🤣 SKU hizi raha jipe mwenyewei ajifunze Kwa yule kaka wa katavi aliyejifanya harusi bila bibi harusi