Binti amenichanganya mpaka nimeshukia njiani

nlishasahau kituo asee MUNGU anajua kuumba hayamungu natamani hata nimwone tena yule dadaaaa
 
Imenipa hamu ya kufanya tuwe na mawasaliano ya kudumu
 
Yaani unakutana na mwanaume eti on the spot na anataka mtongozo. Hujafahamiana hata siku mbili eti twende mahali tukapumzike. Ukweli Busara usipokuwa nazo utaonekana fala Fulani au limbukeni. Wanaume mjifunze uvumilivu na kuficha aibu. Halafu wengine tamaa tu hela hata ya kukunulia Sosa hana halafu unataka mwanamke. Wa Kazi gani? Ukimtaka mwanamke wa ukweli uwe na kifua pia cha kuhakikisha unampa good time. Ila na wewe kabla hujaelewana na mwanamke unaanzaje kushuka njiani??? Khaaaa
 
Imenipa hamu ya kufanya tuwe na mawasaliano ya kudumu

Ikemee hiyo hamu ndo yanaanzaga hivohivo mwisho wake utashuka kituo sio chako heheheheheheee

Mambo lakini?. Kasie ana kusalimu.
 
Ikemee hiyo hamu ndo yanaanzaga hivohivo mwisho wake utashuka kituo sio chako heheheheheheee

Mambo lakini?. Kasie ana kusalimu.
Mi mzima tu.. Ilaaaa.. Mengine nitamalizia kule....
 
aah mkuu,mtoto alifungashia,sijui mbegu ya mji gani ile aisee,na vile vinywele visafiiiii kama mkia wa Farasi.. Ndio nikajikuta nauli ya 40,000, naiona kama 450 ya Tabata-Tandika.
 
Hahahahahahaha pole aisee,umenikumbusha O-level nilikua namsindikiza demu wangu toka tegeta hadi africana majumba sita then narudi boko home ,eti kuogopa , mzungusho majaamaa wakapita nae [emoji38]
 
Hahahahahahaha pole aisee,umenikumbusha O-level nilikua namsindikiza demu wangu toka tegeta hadi africana majumba sita then narudi boko home ,eti kuogopa , mzungusho majaamaa wakapita nae [emoji38]
mmh unae mpaka leo??
 
Pole sana mkuu. Ulikuwa umeishaanza kumsomesha au ndio ulikuwa unataka uanze baada ya kushuka mkuu? Panda treni uwahi interview.
 
Mke wangu nilimpatia kwenye basi.Ulikua natokea Usangi Kilimanjaro naenda Moshi 2009.Kuna Bus zinaitwa Fantastic Enzi izo.Mara gari ikasimama mitaa Fulani akazama ndani.Sikuchelewa nikaanza story sana,aliponizoea naomba mawasiliano.Sikumtongoza kwanza hadi nilipojua historia yake fupi.Tuliwasiliana sana na Mimi nkamuuliza mzazi akadai anawajua familia yao.Nikalia shida mtoto akanielewa na tukawa marafiki.Nipo nae ni mama watoto wangu toka 2011.Yani usingeshuka we ungeomba mawasiliano.pia usijitoe sana mapema kumpenda hadi kuriski maisha kwa usiyemjua.
 
Pole sana mkuu. Ulikuwa umeishaanza kumsomesha au ndio ulikuwa unataka uanze baada ya kushuka mkuu? Panda treni uwahi interview.
mkuu hata sikumsomesha japo macho yalipata kugongana mara kadhaa
 
wife wako anaitwa nani maana humu tupo na ma shemeji hatujuani kwa ID fake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…