Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,156
- 13,258
Mshambulizi Hatari wa Mafarao wa Misri na Wekundu wa England Mohamed Salah amelazimika kumuomba radhi kupitia Ukurasa wake wa Twitter Binti mdogo aliyejiri Uwanjani na Bango lililomtaka awahi kufunga ili binti huyo naye awahi kufanya home work nyumbani
Hata hivyo matakwa ya Binti huyu ilibidi asubiri kudra ya hadi dakika ya 90 ambapo Salah alifanikiwa kumchambua mlinda mlango Farouk Ben Mustapha na kuifungia timu yake bao la ushindi dhidi ya Tunisia (almaarufu TAI WA MAGOFUNI) na kumtaka radhi binti huyu kwamba alijitahidi afunge mapema lakini haikuwezekana hadi dakika hiyo ya kuelekea ukingoni mwa mpambano huo ambapo Misri ilishinda 3-2 likiwa ni bao lake la 39 Kimataif
Hata hivyo matakwa ya Binti huyu ilibidi asubiri kudra ya hadi dakika ya 90 ambapo Salah alifanikiwa kumchambua mlinda mlango Farouk Ben Mustapha na kuifungia timu yake bao la ushindi dhidi ya Tunisia (almaarufu TAI WA MAGOFUNI) na kumtaka radhi binti huyu kwamba alijitahidi afunge mapema lakini haikuwezekana hadi dakika hiyo ya kuelekea ukingoni mwa mpambano huo ambapo Misri ilishinda 3-2 likiwa ni bao lake la 39 Kimataif