Binti ashikwa na Madawa ya Kulevya JNIA;Polisi wa usalama waomba Rushwa wakataliwa...

Binti ashikwa na Madawa ya Kulevya JNIA;Polisi wa usalama waomba Rushwa wakataliwa...

Issue sio kwamba ni vilaza ila wametanguliza maslahi yao mbele kuliko taifa, na hii inatokana na serikali kufumbia macho tuhuma nyingi dhidi ya vigogo, hivyo nao wanaona wacha wachukue chao mapema.
haaaa! Kaka mbona meng yanapita hapo airport, tena makubwa zaidi ya hilo jambo tena kwa maelekezo ya wakubwa. Hvy ht huyo ni geresha tu kwn inawezekana wameshndwa kufikia muafaka ndo maana wamejifanya kumuumbua. Hatuna police wala usalama bali tuna vilaza.
 
Kama kisa hiki ni cha ukweli basi tuvae magunia na kulia. Huwa najiuliza mantiki ya rais kusema ana orodha ya wauza unga lakini hawakamti. Je kuna namna yeye au watu wake wanavyonufaika na biashara hii? Je rais wetu hapa hajawa tatizo?. Maana ashasema anayo orodha ya hawa waharifu sasa kwanini anaendelea kuitunza kama souvernir kama hana anavyoneemeka na janga hili?
Nani wa kimfunga paka kengele,???Irizi moja ndani ya deal,unategemea nini??!
 
PALE UWANJA WA NDEGE WA AIRPORT
Nilipofika hapo tu, sentensi ya kwanza, "uwanja wa ndege wa AIRPORT, nikajiambia okay, unasoma kitu cha mtu ambae hajaenda shule... nikasema ngoja nivumilie, nitafute bigger context...


DADA MMOJA WA USALAMA WA TAIFA AKAMFWATA STRAIGHT ... AKAMWAMBIA NAJUA UNA MZIGO WA UNGA SASA
Nilipofika hapo tena pa "akamfuata akamwambia straight ninajua una mzigo wa unga," nikasema no wonder! Ndo wale wale, wapashaji hapari wetu wa kibongo! Wewe ulikuwa wapi mpaka ukasikia anamwambia winji winji namna hiyo twende ukanipe rushwa? Uongo mkubwa! Lowassa:Mfumo wa elimu ufumuliwe.
 
"Uwanja wa ndege wa Airport" mkuu kipande hiki kimenifurahisha sana kimenikumbusha ile "Barabara ya Morogoro Road"

Tukutane pale Ubalozi wa Embassy niupe vipande kama hivyo mpaka uone raha
 
Nilipofika hapo tu, sentensi ya kwanza, "uwanja wa ndege wa AIRPORT, nikajiambia okay, unasoma kitu cha mtu ambae hajaenda shule... nikasema ngoja nivumilie, nitafute bigger context...


Nilipofika hapo tena pa "akamfuata akamwambia straight ninajua una mzigo wa unga," nikasema no wonder! Ndo wale wale, wapashaji hapari wetu wa kibongo! Wewe ulikuwa wapi mpaka ukasikia anamwambia winji winji namna hiyo twende ukanipe rushwa? Uongo mkubwa! Lowassa:Mfumo wa elimu ufumuliwe.


hahaha mkuu huyu ndio P DIDY syle yake ni kipekee humu JF labda kama wewe mgeni hutomuelewa
 
Tatizo hata wakitimiza majukumu yao vizuri kwa kuwakamata wakubwa wanakula juu kwa juu na kuwaacha watuhumiwa wakiwa huru!ndo maana vijana wanaamua kujichukulia chao mapema
 
kama wangekuwa na dhamira ya kweli kumaliza tatizo wangemfuata Kiuno bila mfupa akawaeleza alikuwa anayapata wapi.
 
BINTI MMOJA AMEKAMATWA NA MADAW AYA KULEVYA JIONI HII PALE UWANJA WA NDEGE WA AIRPORT BINTI HUYO MANASHATI MZURI NA ANANUKIA PERFUME YA HALI YA JUU ALIPOKUWA KWENYE MSTARI
KAMA ABIRIA WENGINE ;KISA KIKAWA HIVI

DADA MMOJA WA USALAMA WA TAIFA AKAMFWATA STRAIGHT NA KUMUULIZA JINA LAKE ;ALIPOMTAJIA
DADA YULE AKIWA AMEVAA SKETI NYEUSI AKAMWAMBIA NAJUA UNA MZIGO WA UNGA SASA TWENDE
OFISINI TUKATIE CHETU YAISHE UENDE..DADA YULE BILA AIBU AKASEMA SINA AKAANZA KUWAKA SINA UNGA
IKAWA MGOGORO .. YULE DADA AKAMWAMBIA BILA AIBU UNAWAKA M NAKUCHOMA KWA MAPOLISI

GAFLA WALIPOJAA WATU DILI LIKAUNGUA AKAMCHUKUA NA KUMPELEKA KWA POLISI MUDA SI MREFU ATAANZA KUADHIBIWA NA UJI WA KUSHUSHA ZILE KETE ZETU ..YAONEKANA YUKO KWENYE MATAYARISHO

ANYWAY WATANZANIA TUJIULIZE HAKA KAMCHEZO CHA HUYU DADA NI WANGAPI WANAFANYA NA KWA STYLE HII MZIGO MINGAPI INAPITA KUPITIA WASHENZI KAMA HAWA??ALAFU TUNALAUMU SERIKALI JAMANI WAKATI WAUWAJI NI SISI WENYEWE???

MUDA SI MREFU MHUSIKA WA MZIGO AMEETHUBUTU KUMPIGIA MMMOJA WA WAUNGWANA WA KUBWA WA POLISI NA KUAMBIWA AISEE ISSUE IMESHAFIKA KWA AFANDE NZOWA AKUNA KINACHOFANYIKA ANYMORE..TOO LATE

SO SAD IMENIKUMBUSHA SIKU MOJA NIKIWA NASAFIRI NIKAFWATANA NA KKAKA MMOJA NA MAPOLISI WAWILI ALIPOPITISHA VYATU VYAKE IKAONEKANA KITU KAKA JASHO LINAMTOKA KAMA MWEHU AMEMWAGIWA MAJI YA MOTO MAPEPO YANAANZA KUTOKA ..WAKAANZA KUKIKAGUA KIATU KILE WAKAMUINGIZA CHUMBA KIMOJA WATU WA 5 KIDOGO ...BAADA YA MUDA POLISI WALIENDA NAE WAKALA NAE MPAKA TUNASAFIRI POLISI WALITUMIKA KAMA ESCORT AKAMFIKISHA MPAAKA MLANGONI PENGINE WALIOGOPA ATAONGEA NA WATU AKAARIBU ZAIDI

Bado wanaweza kufanya hivyo pale hadharani?
 
Loh wana haya wale mkuu haya iko chini ...tu
 
hahaha mkuu huyu ndio P DIDY syle yake ni kipekee humu JF labda kama wewe mgeni hutomuelewa
MGENI HUYU VIPER TUMSAIDIE TU USHAAMBIWA WAKINA

Anheuser
ANSUNAR
AN......
ELSE
 
Back
Top Bottom