Hodi mpaka ndani wadau wote wa JF. Mimi ni binti mrembo mwenye umri wa miaka 24 ambaye nimeamua kujiunga na mtandao huu wa JF. Naomba nitoe tahadhari mapema kwamba sikuja kutafuta mchumba kwani ninaye wangu. Iwapo itatokea akanimwaga, nitaweka mambo hadharani.
Kha...! Babu Asprin umemuona huyu mjukuu.Hodi mpaka ndani wadau wote wa JF. Mimi ni binti mrembo mwenye umri wa miaka 24 ambaye nimeamua kujiunga na mtandao huu wa JF. Naomba nitoe tahadhari mapema kwamba sikuja kutafuta mchumba kwani ninaye wangu. Iwapo itatokea akanimwaga, nitaweka mambo hadharani.
Lord Have Mercy! mbona kwa mikwala hivyo???
Hodi mpaka ndani wadau wote wa JF. Mimi ni binti mrembo mwenye umri wa miaka 24 ambaye nimeamua kujiunga na mtandao huu wa JF. Naomba nitoe tahadhari mapema kwamba sikuja kutafuta mchumba kwani ninaye wangu. Iwapo itatokea akanimwaga, nitaweka mambo hadharani.
Hahahaah!! Mgeni mwenye unakuja kwa mkwara namna hiyo. Karibu sana unatumia kinywaji gani nikuletee...Ahsante, heri wewe umenikaribisha kwa moyo mmoja. Wengine wananikaribisha viroho vinawadunda maana nimeshawawekea kizingiti kwa kuwaambia ninaye wangu.