Binti kanitongoza

Binti kanitongoza

wiseboy

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2011
Posts
2,930
Reaction score
3,305
nawasalim wote wa umri wangu, juu yangu na chini yangu. Jamani lisemwalo lipo na kama halipo wewe lingoje ck moja litakutokea. Wekend hii nikitokea mikoani kuja Dar tulikaa siti moja na dada wa alijitambulisha kama dent wa mwaka wa 3 chuo mojawapo hapa Dar. Huyu sister ni muongeaji kimtindo japo ana positive idear. Tukiwa katika stori za hapa na pale aliniambia anategemea kuanza maisha yake baada ya kuhitimu mwaka huu hvyo anahitaji kuwa na mchumba toka chuoni kwetu eti kwa kigezo kwamba chuo chetu kina msuli mzito kuliko vyuo vyote hapa nchini, kwa mantiki hyo anadai wavulana wa chuoni kwetu wako simple na wako bize na masomo hvyo anahisi sio wadanganyifu kama vyuo vingine. Tulipofika mwisho wa safari tulipeana namba za cm, baada ya hapo ameanza kunitumia akiniita mme mtarajiwa, honey na nk na hata sijamtongoza wala kumuonyesha dalili. JE HUYU DADA ANA NIA IPI KWANGU MAANA KANIWEKA NJIA PANDA. Nifanyeje coz sijajb sms zake bt bdo anatuma zingine.
 
Ukitaka kujua uhondo wa ngoma ingia ucheze.....

Hebu kuwa kama mwanaume kamili
acha uttoto.....

Kutongozwa na mwanamke siku hizi ni jambo la kawaida mno....

Wewe amua,unamtaka au humtaki na umueleze
 
WISEBOY-kama jina lako lilivyo we ni wa chuo gani hadi akawa na uhakika kuwa wavulana wa chuo chenu watakuwa bize sana
Pili-wwe umemchukuliaje huyo demu?
Tatu-kumbuka mademu wengi ni waongo
 
nawasalim wote wa umri wangu, juu yangu na chini yangu. Jamani lisemwalo lipo na kama halipo wewe lingoje ck moja litakutokea. Wekend hii nikitokea mikoani kuja Dar tulikaa siti moja na dada wa alijitambulisha kama dent wa mwaka wa 3 chuo mojawapo hapa Dar. Huyu sister ni muongeaji kimtindo japo ana positive idear. Tukiwa katika stori za hapa na pale aliniambia anategemea kuanza maisha yake baada ya kuhitimu mwaka huu hvyo anahitaji kuwa na mchumba toka chuoni kwetu eti kwa kigezo kwamba chuo chetu kina msuli mzito kuliko vyuo vyote hapa nchini, kwa mantiki hyo anadai wavulana wa chuoni kwetu wako simple na wako bize na masomo hvyo anahisi sio wadanganyifu kama vyuo vingine. Tulipofika mwisho wa safari tulipeana namba za cm, baada ya hapo ameanza kunitumia akiniita mme mtarajiwa, honey na nk na hata sijamtongoza wala kumuonyesha dalili. JE HUYU DADA ANA NIA IPI KWANGU MAANA KANIWEKA NJIA PANDA. Nifanyeje coz sijajb sms zake bt bdo anatuma zingine.

hi jf members, mm ni mvulana nipo mwaka wa mwisho moja ya vyuo vikuu hapa Tz. Nilipokuwa 4m 5 na 6 nilikuwa na mchumba ambaye nilimpenda sana naye alinipenda. Nilipokuwa chuo mwaka wa kwnza akapewa udaku naye akaamua kunipotezea, basi nikamtongoza binti tuliyekuwa naye mwaka wa kwanza, japo huyu nililenga awe kuenjoy naye siku moja na kumuacha maana sikumpenda sana, ila baada ya ku do naye alinipenda ile mbaya na kuanza kuniganda kila ninapoenda. Kuona hvyo nikamtumia sms ya kumkataa pia hakusikia, nikampiga hadi kumuumiza pia hakuniacha. Ok nikaamua kuzuga naye maana nilichoka kutoa adhabu, baada ya hapo tukawa tunaishi km lovers kwa sababu yeye ananipenda sana hata hela zake ziko kwenye account yangu na tumenunua naye vitu vingi vya ndani mfn tv, kitanda, kabati, computer, nk. Pia hutumia mzazi wangu hela zake japo hajawahi kumuona. Wakati huo huo yule binti wa darasa la 7 naye aliniomba msamaha nikamsameha pia anasubiri nimuoe. Je nimuoe yupi kati ya hawa? nifaje ili roho yangu impende huyu wa chuo? plş


Achana na huyo dada na ulimpa simu ya nini wakati tayari una mchanganyiko huo hapo tulia kijana sawa..............
 
WISEBOY-kama jina lako lilivyo we ni wa chuo gani hadi akawa na uhakika kuwa wavulana wa chuo chenu watakuwa bize sana
Pili-wwe umemchukuliaje huyo demu?
Tatu-kumbuka mademu wengi ni waongo

yeye ndiye aliyeyasema hayo mawazo co mm. Ila chuo nilichopo ni chu6 ambacho hakitoi degree za art ni full science, nadhani ulishakijua.
 
Mtungue japo kwa manati.... then chapa mwendo....
 
Achana na huyo dada na ulimpa simu ya nini wakati tayari una mchanganyiko huo hapo tulia kijana sawa..............

duh..hiki kizazi ni cha pekee..! kumbe tayari ana mchanganyiko.?
Kijana lazima ujue unaelekea wapi? Hujamaliza tatizo, unaingia kwenye tatizo. Amua unataka nini
 
yeye ndiye aliyeyasema hayo mawazo co mm. Ila chuo nilichopo ni chu6 ambacho hakitoi degree za art ni full science, nadhani ulishakijua.
Hicho chuo lazima ni SUA tu. Huyo dada atakuwa anatafuta mwanaume anayehisi kuwa ni mzembe ili awe anamtawala. Kumuonyesha kuwa chuo chenu sio wazembe we jipendekeze kwake halafu akikuletea mzigo mega halafu unamtosa. Utakuwa umelinda heshima ya wapiga misuli mizito wenzio.
 
Sasa unatongozwa unalalamika mala oooh mimi sipendwi weka woote kwenye foleni chagua mmoja mkuu!
 
Hicho ni kipapa cha mji kinatafuta 'crying shoulders' kuja kutulia.Angalia sana kijana
 
nawasalim wote wa umri wangu, juu yangu na chini yangu. Jamani lisemwalo lipo na kama halipo wewe lingoje ck moja litakutokea. Wekend hii nikitokea mikoani kuja Dar tulikaa siti moja na dada wa alijitambulisha kama dent wa mwaka wa 3 chuo mojawapo hapa Dar. Huyu sister ni muongeaji kimtindo japo ana positive idear. Tukiwa katika stori za hapa na pale aliniambia anategemea kuanza maisha yake baada ya kuhitimu mwaka huu hvyo anahitaji kuwa na mchumba toka chuoni kwetu eti kwa kigezo kwamba chuo chetu kina msuli mzito kuliko vyuo vyote hapa nchini, kwa mantiki hyo anadai wavulana wa chuoni kwetu wako simple na wako bize na masomo hvyo anahisi sio wadanganyifu kama vyuo vingine. Tulipofika mwisho wa safari tulipeana namba za cm, baada ya hapo ameanza kunitumia akiniita mme mtarajiwa, honey na nk na hata sijamtongoza wala kumuonyesha dalili. JE HUYU DADA ANA NIA IPI KWANGU MAANA KANIWEKA NJIA PANDA. Nifanyeje coz sijajb sms zake bt bdo anatuma zingine.

Wewe unaonekana kabisa kuwa huyu binti hauna ''feeling'' nae ndio maana ukaandika/ukatujuza tukupe ushauri...
FUATA MOYO WAKO....USIFUATE AKIRI INAVYOKUTUMA........kutongozwa(kuwa''approach''iwa) na mwanamke ni kitu cha kawaida ila kuanzisha uhusiano ni kitu kingine kabisa....yani si kukurupuka tu.
 
duh..hiki kizazi ni cha pekee..! kumbe tayari ana mchanganyiko.?
Kijana lazima ujue unaelekea wapi? Hujamaliza tatizo, unaingia kwenye tatizo. Amua unataka nini


Hapo sasa tatizo la kwanza bado hajalimaliza anataka lingine sijui inakuwaje......................................
 
yeye ndiye aliyeyasema hayo mawazo co mm. Ila chuo nilichopo ni chu6 ambacho hakitoi degree za art ni full science, nadhani ulishakijua.

Mbona mafumbo mengi kaka, sema chuo chako.
 
Hapo sasa tatizo la kwanza bado hajalimaliza anataka lingine sijui inakuwaje......................................

Ooh, inawezekana huyu mpya anaweza kuwa mke! Ulikuwa kwenye relationships mbili, bado tu hujajifunza tabia za mabinti?...
 
Back
Top Bottom