Binti kanitongoza

Binti kanitongoza

Bahati au kujichanganya na kujitakia matatizo kila kukicha.....................

kwake yeye anaona ujiko, ndio maana katuambia eti alikuwa mpaka anampiga huyo demu wake lakini demu hamuachi, pia napata mashaka na mtu anayejisifia kumpiga mwanamke, katuambia kwamba alipochoka kutoa adhabu ikabidi aendelee tu kuzuga na huyo demu wake.
 
Achana na huyo dada na ulimpa simu ya nini wakati tayari una mchanganyiko huo hapo tulia kijana sawa..............
Kwanza asante sana DA kwa kutukumbusha hili.

Pili, kwako WB, kama umeamua kuwa mwongo, basi angalau uweke kumbukumbu ya kile ulichokisema kabla kisipingane na cha sasa. Nakumbuka kwenye post yako ya kwanza binafsi nilikulaumu kwa kumpiga huyo binti na kukushutumu kuwa inawezekana "hata huijui ilivyokaa bali hizo ni fantasy zako tu".
Tukiangalia posts zako mbili, iwe za kweli iwe za kutunga, wasomaji anatupa wasiwasi.
ANY WAY, wewe unajua zaidi unachokikisema. We're waiting for your next nice story.
 
kwake yeye anaona ujiko, ndio maana katuambia eti alikuwa mpaka anampiga huyo demu wake lakini demu hamuachi, pia napata mashaka na mtu anayejisifia kumpiga mwanamke, katuambia kwamba alipochoka kutoa adhabu ikabidi aendelee tu kuzuga na huyo demu wake.


Naona anataka na huyu kuanza kumpiga maana anaona ujiko sana.................................
 
Kwanza asante sana DA kwa kutukumbusha hili.

Pili, kwako WB, kama umeamua kuwa mwongo, basi angalau uweke kumbukumbu ya kile ulichokisema kabla kisipingane na cha sasa. Nakumbuka kwenye post yako ya kwanza binafsi nilikulaumu kwa kumpiga huyo binti na kukushutumu kuwa inawezekana "hata huijui ilivyokaa bali hizo ni fantasy zako tu".
Tukiangalia posts zako mbili, iwe za kweli iwe za kutunga, wasomaji anatupa wasiwasi.
ANY WAY, wewe unajua zaidi unachokikisema. We're waiting for your next nice story.

Asante kwa kuliona hilo..
Wakati mwingine inakuwa ngumu kujua huyu mtu visa hivi anatunga, au ni vya kweli.. maana hii ni ishara tosha kwamba hauko-committed kwa huyu uliye naye sasa,mpaka unagawa namba kwa mtu mwingine.
 
Asante kwa kuliona hilo..
Wakati mwingine inakuwa ngumu kujua huyu mtu visa hivi anatunga, au ni vya kweli.. maana hii ni ishara tosha kwamba hauko-committed kwa huyu uliye naye sasa,mpaka unagawa namba kwa mtu mwingine.

Unajua kuna watu wanaleta visa vinakugusa sasa akija na na kisa kingine lazima urudi uperuzi nini anasema nakumbuka huyu alijigamba kumpigia mwanamke ndo maana nikamkumbuka............................................

Kashaona kijiwe cha moto katimkia kwa mbali WB rudi usome maoni ya wadau.................................na ujifunze
 
Unajua kuna watu wanaleta visa vinakugusa sasa akija na na kisa kingine lazima urudi uperuzi nini anasema nakumbuka huyu alijigamba kumpigia mwanamke ndo maana nikamkumbuka............................................

Kashaona kijiwe cha moto katimkia kwa mbali WB rudi usome maoni ya wadau.................................na ujifunze

Atarudi tu.. aamue sasa kama anataka kumtema yule, au ampende huyu...kazi kweli kweli
 
Achana na huyo dada na ulimpa simu ya nini wakati tayari una mchanganyiko huo hapo tulia kijana sawa..............



acha kuchezea mioyo ya waschana maana kila mtu ana haki ya kusema hisia zake...... kuambiwa unapendwa isiwe tabu kijana inaelekea wewe ni product ya mifumo dume tunayoipinga kila siku...... naona sasa wewe hupaswi kuitwa wise boy bali PLAYBOY
 
nawasalim wote wa umri wangu, juu yangu na chini yangu. Jamani lisemwalo lipo na kama halipo wewe lingoje ck moja litakutokea. Wekend hii nikitokea mikoani kuja Dar tulikaa siti moja na dada wa alijitambulisha kama dent wa mwaka wa 3 chuo mojawapo hapa Dar. Huyu sister ni muongeaji kimtindo japo ana positive idear. Tukiwa katika stori za hapa na pale aliniambia anategemea kuanza maisha yake baada ya kuhitimu mwaka huu hvyo anahitaji kuwa na mchumba toka chuoni kwetu eti kwa kigezo kwamba chuo chetu kina msuli mzito kuliko vyuo vyote hapa nchini, kwa mantiki hyo anadai wavulana wa chuoni kwetu wako simple na wako bize na masomo hvyo anahisi sio wadanganyifu kama vyuo vingine. Tulipofika mwisho wa safari tulipeana namba za cm, baada ya hapo ameanza kunitumia akiniita mme mtarajiwa, honey na nk na hata sijamtongoza wala kumuonyesha dalili. JE HUYU DADA ANA NIA IPI KWANGU MAANA KANIWEKA NJIA PANDA. Nifanyeje coz sijajb sms zake bt bdo anatuma zingine.

Niachie mimi huyo binti
 
quote_icon.png
Originally Posted by wiseboy
nawasalim wote wa umri wangu, juu yangu na chini yangu. Jamani lisemwalo lipo na kama halipo wewe lingoje ck moja litakutokea. Wekend hii nikitokea mikoani kuja Dar tulikaa siti moja na dada wa alijitambulisha kama dent wa mwaka wa 3 chuo mojawapo hapa Dar. Huyu sister ni muongeaji kimtindo japo ana positive idear. Tukiwa katika stori za hapa na pale aliniambia anategemea kuanza maisha yake baada ya kuhitimu mwaka huu hvyo anahitaji kuwa na mchumba toka chuoni kwetu eti kwa kigezo kwamba chuo chetu kina msuli mzito kuliko vyuo vyote hapa nchini, kwa mantiki hyo anadai wavulana wa chuoni kwetu wako simple na wako bize na masomo hvyo anahisi sio wadanganyifu kama vyuo vingine. Tulipofika mwisho wa safari tulipeana namba za cm, baada ya hapo ameanza kunitumia akiniita mme mtarajiwa, honey na nk na hata sijamtongoza wala kumuonyesha dalili. JE HUYU DADA ANA NIA IPI KWANGU MAANA KANIWEKA NJIA PANDA. Nifanyeje coz sijajb sms zake bt bdo anatuma zingine.

Niachie mimi huyo binti
Ndugu yangu Fidel80,HAUTAMUEZA HUYU BINTI ANAVIGEZO VYAKE BANA.....ahahahaha
 
Mpe namba yangu basi,ila situmiagi blastic bag so awe tayari kupima kila mwezi
 
Inaelekea huyu bwana story zake za kupika!ndio maana anasahau kuwa alishatudanganya wana JF!ukiwa mwongo uwe na kumbukumbu kaka kwa uliyoyasema mwanzoni.

JF members wana memory za kufa mtu!
 
Lipi la ajabu?acha ulimbukeni wa mapenzi wewe?unaweka matangazi kwenye forum ili tujue jinsi gani ulivyo handsome au ulivyo sharobaro
 
Achana na huyo dada na ulimpa simu ya nini wakati tayari una mchanganyiko huo hapo tulia kijana sawa..............

Hawa watoto wa siku hizi wanayakoroga mtaani halafu wanakimbilia huku kuja kuomba ushauri!!!!
 
nawasalim wote wa umri wangu, juu yangu na chini yangu. Jamani lisemwalo lipo na kama halipo wewe lingoje ck moja litakutokea. Wekend hii nikitokea mikoani kuja Dar tulikaa siti moja na dada wa alijitambulisha kama dent wa mwaka wa 3 chuo mojawapo hapa Dar. Huyu sister ni muongeaji kimtindo japo ana positive idear. Tukiwa katika stori za hapa na pale aliniambia anategemea kuanza maisha yake baada ya kuhitimu mwaka huu hvyo anahitaji kuwa na mchumba toka chuoni kwetu eti kwa kigezo kwamba chuo chetu kina msuli mzito kuliko vyuo vyote hapa nchini, kwa mantiki hyo anadai wavulana wa chuoni kwetu wako simple na wako bize na masomo hvyo anahisi sio wadanganyifu kama vyuo vingine. Tulipofika mwisho wa safari tulipeana namba za cm, baada ya hapo ameanza kunitumia akiniita mme mtarajiwa, honey na nk na hata sijamtongoza wala kumuonyesha dalili. JE HUYU DADA ANA NIA IPI KWANGU MAANA KANIWEKA NJIA PANDA. Nifanyeje coz sijajb sms zake bt bdo anatuma zingine.

Wewe sio ufukwe kwamba kila mwanamke aliyevunjika moyo atakuja na kupata pumziko. Realize where your body belongs and hold it say NO!. Ulishaona wapi ng'ombe anajipeleka machinjioni?
 
kwani kuitwa mme mtarajiwa ni kutongozwa mkuu? unahitaji lecture ya kutofautisha kati ya taarifa na kutongoza.
Mkuu hiyo uliyopewa ni taarifa! so take care and act positively kadiri ya matakwa ya moy wako
 
yeye ndiye aliyeyasema hayo mawazo co mm. Ila chuo nilichopo ni chu6 ambacho hakitoi degree za art ni full science, nadhani ulishakijua.

Chuo cha makenika na mafundi mchundo,c ndio?
 
Back
Top Bottom