Binti katuchanganya mimi na kaka yangu


*********************

Heheheeee ndio dhambi ya UZINIFU HIYO.....Endelea.....Ungesubiri hadi ndoa usingechanganyikiwa :dance:
 
umenisambu ,poa tuuuu!
nimekununiaaaaje!

mtani jirani mi naona hata nawe umenisambu sambu kisambusa na kunishit shit kibagia....

kwema lakini mtani wa mimi?
 
mtani jirani mi naona hata nawe umenisambu sambu kisambusa na kunishit shit kibagia....

kwema lakini mtani wa mimi?
ahahahahaha mtani jirani acha tu!nimekutumbua kabisaaaa
 
nyie wasichana nyie, somtaimz au basi naomba nisiendelee msije kunishikia bango humu. Halafu niliposoma hii story imenifanya nikumbuke ile ngoma ya usher na r.kelly inaitwa same girl. Dizain ka zinafanana
 
Msichana mstaarabu kwa muonekano, Mpole, mwenye haiba na aibu tele, mwenye kujiheshimu kimavazi mbele za watu.....

Pole....naona alikuingiza king kwa kujifanya kondoo!!!

Kapelekwa mule mule yan. Mapenzi darasa, mbaya sana kama ndio alikua anaanza la kwanza. LoL
Kwenye issue ya condom hapo ndio utratra mtupu.
 
hahahahaha tatizo c kupima embu jenga picha wakati wa kusubiri majibu toka kwa daktariii, ni noumaaaaaaaaaaaaa.

Hata kama we bikra wa kihaya...that moment lazma uhisi kujinyea. Hata sijuagi kwann aisee ?? Noma Sanaa !!!
 
*********************

Heheheeee ndio dhambi ya UZINIFU HIYO.....Endelea.....Ungesubiri hadi ndoa usingechanganyikiwa :dance:

Tema mate chini na usali sanaa kwa Mungu yasikukute. Haya mambo hayana mjanja. Unaweza ukajitunza bikra maisha yako yote.... Siku unafunua tu kwa mara ya kwanza mkenge huo. Kuna watu wamepata wachumba makanisani but still mtu aningizwa kingi. Ths Shit z very scary. Dah tumuombe sana Mungu aepushe mbali.
 
Madem wengi wenye sifa tajwa hapo juu ni moto wakuotea mbali
 
Pole sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…