'Binti Kiziwi' ahukumiwa kifungo cha miaka mitano jela huko Hong Kong baada ya kukamatwa na madawa!

Hawa wasanii wa bongo ni janga lingine..pale uwanja wa ndege wanapitaje?? Na huyo kaka yake anaonekana nae ni walewale eti 'miaka mitano sii mingi atatoka tu' shame on you mnaharibu maisha ya watu kwa ujinga wenu wa.pu.mba.vu kabisa

usikute anajifariji tu mkuu, manake siamini kama sheria za Hong Kong ni tofauti na za China mainland
 
mwaka wa 2 nipo mtaan nimekosa school fees anaetaka niwe punda ani pm MASHARITI anipatie ada ya shule na pesa ya michango mingine asanteh!!!!
 
Acha watusaidie, maana serikali yetu inaleta siasa kwenye issue ya Madawa ya kulevya. Nchi za wenzetu wako serious na kulitokomeza janga hilo. Mpaka watakapogundua kuwa Tanzania si kichwa cha mwendawazimu kwenye mpira tu, hata kutumika kama transit ya madawa ya kulevya..
 
Mbona hii sheria ina uwalakini mkubwa hivyo? Miaka mitano tu atajifunza nini sasa?
 
Rafiki yake Lemutuz baharia ndio boss wao ccm chama cha kitapeli ndio maana hata rais aliongeleagi
 

mkuu hebu elezea tena vizuri!

nilikuwa natafuta jinsi wanavyowekewa haya madawa na kuyatoa kiundani zaidi!
 
Huyo bibi Kiziwi pengine anatafuta pesa akajitibu masikio...mweeh!
 
Na huyo jack anayesema alikua uwanjani kipindi kiziwi anakamatwa,naye kadakwa pande hizo hizo! Walikua njia moja hawa.
 
Na huyo jack anayesema alikua uwanjani kipindi kiziwi anakamatwa,naye kadakwa pande hizo hizo! Walikua njia moja hawa.

kuna msemo watu wengi huwa tunaupuuzia lakini una maana kubwa ''Ukiona mwenzio kanyolewa, zako tia maji'' Wakati Binti kiziwa ananaswa jack aliyekuwepo na ndio ulikuwa muda wa kujifunza lakini ndo hivyo sikio la kufa halisikii dawa!!
 
"Nilifanya hivyo kwa wakati. Siku zote nimekuwa
karibu naye, hata nikienda China huwa nakwenda
kumtembelea gerezani,”
alisema Jack.

============
============
Haya sasa nawewe jack nani atakuwa anakuja kukuangalia? Au Jux na Chief Rocka.
 
Acha watusaidie kuwakamata maana serikali yetu imeshindwa safi sanaaaaa Hongkong
 
Ni aibu sasa tz imekuwa kama Pakistan maana ukienda nchi za nje wakiona umetoka dar unaangaliwa Mara 2 mbili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…