Binti kutoa uchafu uken wakati wa tendo la ndoa



Nimekufumania kumbe upo huku
 

Mmmh huyu Dr hata siamini alichosema. Kuna cases nyingi zinatokeaga za wanaume kuja kuambukiza wake zao ndani na ndio hapo wake wanajua mume alienda kucheza nje tena kavukavu. Na mambo hayo ya oral nayo ni mabaya.

Ila mumeo nini tena kilimpeleka huko kwa dr?

Uo uweupe unaweza kuwa nao wa kawaida mlaini tu na ukaondoka, wengine inakuwaga sign ya mimba unakuwepo kila siku bila kuishia na haunuki... Ila kwa kweli kama umesema hadi kama mchelle hiyo sio nzuri washauri.

Wanawake lazima jamani muiname ili mjisafishe vizuri huko na pia unaingiza kidole na kutoa na kukinusa ili ujue kama mambo poa au la. Ukizoea hautaona shida kabisa ndio mafunzo wengine tulipewa hm tulikuaga.
 
Hiyo kitu ni ya kawaida kijana wala usiogope ila kama inakuwa too much mshauri huyo Mdada aende kuchek Hospital. Inabidi vitu vingine mkue kwanza kisha ndo muwe mnafanya, umeona hiyo kasoro ndogo tu unakuja kuiweka hadharani je ukikutana na mengine makubwa wanayokutana nayo kaka zako si utaenda kupeleka Clouds, Radio One, ITV na TBC?

Punguza uzinzi, tafuta mtu mmoja utulie nae au funga nae ndoa kabisa maisha yenyewe haya hayaeleweki kila mtu unayekutana nae ana matatizo kibao ya kiafya.

Umesema asili yako ni kutoka Kanda ya Ziwa, isije ukawa hujadondosha mkono wa Sweta na hayo mauchafu yanatokea kwenye mashine yako kisha unawasingizia watoto wa wenzio?

Inabidi pia uelewe mapenzi ni uchafu ila wapenzi wenyewe mnatakiwa muwe wasafi, huko unapokuona kunatoa hivyo vitu unaviita uchafu, kuna watu bila ya kupiga vigele gele pande hizo wanaona hawajaridhishana katika game.
 


Nashukur kwa maon yako! Ila kuhusu mkono wa sweta, nilipata suuna miaka mingi iliyopita!
 
Kujisafisha kwa maji mengi na ya kutosha ndio swala la muhimu

Kusafisha mikunjo vizuri (mashavu ya uke) ile mikunjo ya ndani na kuzunguka kisimi....kusafisha vizuri na kwa uangalifu msamba(sehemu kati ya uke na sehemu ya haja kubwa)

Kwa kufanya hivi mara kwa mara mwanamke huwezi kuwa na harufu za ajabu ajabu na utakuwa ume'ensure maximum protection sehemu hizo

Thanks


 
Ngoja niwachungulie labda nitaona mchele
 
Mmmh huo mtoko hadi utoke kama punje punje za mchele hapo sipaelewi. Hata ukae mwaka mzima bila ku do hiyo kitu sijui. ngoja madaktari waseme.
 

Kaisiki
 
Kwa hiyo UTI inasababishwa na fungus?
Kweli mjini shule. Ila kaangale tena facts zako na hubby aisee, huyo dr nna mashaka nae.
Hapana King'asti naona hatujaelewana vizuri,huyo Dr.kasema ikitokea mtu anaumwa uti mara kwa mara mwanamke nazungumzia,kuna muda mwingine inakua ana fungus,nazungumzia uti isiyopona yana inajirudia mara kwa mara....na akasema wanaume hawaumwagi mara kwa mara uti na akiumwa ujue kaitoa kwa mwanamke..SIJASEMA MIM NI MANENO YA DR...MIM SIJUI MAMBO YA UDAKTAR nachojua ni kua napaswa kujisafisha kwa bibi vizuri na kutumia choo kisafi
 
Mzurimie...kilichompeleka hubby hosp ni kua alikua anajisikia vibaya akaambiwa apime maralia,typhoid na uti hakukutwa na kitu sasa ndo bwana daktari akamwambia hayo makitu niliyosema,namm sijasomea mambo ya hosp ivo nimesema kama alivyosema labda madaktari waje watuelezee vizuri.
Kuhusu kujiswafi kwa bibi najua my dia c kuinama tu hata kuchuchumaa kusafisha sehemu zote zilizojificha na kujitahidi kuvaa pichu za cotton.
 
UTI ni urinary track infection, ambayo ni lazma iwe bacteria manake fungus hazikai kwenye njia ya mkojo.
fungus zinakaa ukeni. ndio maana nikkuambia huyo daktari labda hamkumuelewa lakini pia si wa kutegemea.
umesema vyema huyajui haya. hata mie siyajui najifunza kila siku. ila zingatia, huyo dr huyooo:shut-mouth:
 
Reactions: PLL
..mi nakushauri na wewe uende hospitali ukacheki afya yako, usije nawe ukaanza kutoa hizo punje kama hao mashori wako ukaishia kuachwa tu...
 
usiite uchafu, hiyo madakta wanaita "NORMAL VAGINAL DISCHARGE" tena ni lubricanti nzuri sana, uKiona 'K' imekuwa kavu na haitoi discharge yoyote, hiyo PAPUCHI inakuwa haina AFYA, watu wana imani potofu kuwa PAPUCHI inatakiwa isafishwe na isitoe chochote wakati wa tendo la ndoa. Mimi nikiona yale maziwa ya mgando huwa nahamasika zaidi!
 
1. Acha/ Epuka tabia ya kuanika CHUPI UVUNGUNI
2. Uwe unaoga angalau mara mbili kwa siku
3. Epuka kukaa na unyevu kwenye uchi muda mrefu bila kujikausha (hasa baada ya kuoga)

- Kuna tofauti kubwa kati ya UTI na fungus kwenye uchi!
- Maambukizi kwenye uchi husababishwa na mazingira uliyomo ikiwa ni pamoja na nguo zako, usafi au ngono.
- Ni vizuri ukatafuta ushauri wa kitaalamu - maana tatizo hili huwa linarudia rudia sana. Mara nyingi unatumia Cream tu na tatizo linakwisha kabisa.
* Kwa kutegemea aina ya UTI - mtaalam anaweza kupendekeza utumie Anti-biotics (kama ni lazima.
 
Risk Factors for Recurrent Urinary Tract Infection in Young Women

Abstract

To define host factors associated with an increased risk of recurrent urinary tract infection (RUTI), a case-control study was conducted in 2 populations: university women and health maintenance organization enrollees. Case patients were 229 women 18–30 years old with RUTIs; control subjects were 253 randomly selected women with no RUTI history. In a multivariate model, independent risk factors for RUTI included recent 1-month intercourse frequency (odds ratio [OR], 5.8; 95% confidence interval [CI], 3.1–10.6 for 4–8 episodes), 12-month spermicide use (OR, 1.8; 95% CI, 1.1–2.9), and new sex partner during the past year (OR, 1.9; 95% CI, 1.2–3.2). Two newly identified risk factors were age at first urinary tract infection (UTI) ⩽15 years (OR, 3.9; 95% CI, 1.9–8.0) and UTI history in the mother (OR, 2.3; 95% CI, 1.5–3.7). Blood group and secretor phenotype were not associated with RUTI. In young women, risk factors for sporadic UTI are also risk factors for recurrence. Two predictors suggest that genetic/long-term environmental exposures also predispose to RUTI.
 
PPL soma post hii fupi, hii kitu ni common sana kwa wadada:
Risk Factors for Recurrent Urinary Tract Infection in Young Women
Delia Scholes1,2, Thomas M. Hooton3, Pacita L. Roberts3, Ann E. Stapleton3, Kalpana Gupta3 and Walter E. Stamm3
+ Author Affiliations

1Center for Health Studies, Group Health Cooperative of Puget Sound
2Department of Epidemiology, School of Public Health and Community Medicine
3Department of Medicine, School of Medicine, University of Washington, Seattle
Reprints or correspondence: Dr. Delia Scholes, Center for Health Studies, Group Health Cooperative of Puget Sound, 1730 Minor Ave., Suite 1600, Seattle, WA 98101 (scholes.d@ghc.org).
Presented in part: 35th annual meeting of the Infectious Diseases Society of America, San Francisco, September 1997 (abstract 459).

Abstract

To define host factors associated with an increased risk of recurrent urinary tract infection (RUTI), a case-control study was conducted in 2 populations: university women and health maintenance organization enrollees. Case patients were 229 women 18–30 years old with RUTIs; control subjects were 253 randomly selected women with no RUTI history. In a multivariate model, independent risk factors for RUTI included recent 1-month intercourse frequency (odds ratio [OR], 5.8; 95% confidence interval [CI], 3.1–10.6 for 4–8 episodes), 12-month spermicide use (OR, 1.8; 95% CI, 1.1–2.9), and new sex partner during the past year (OR, 1.9; 95% CI, 1.2–3.2). Two newly identified risk factors were age at first urinary tract infection (UTI) ⩽15 years (OR, 3.9; 95% CI, 1.9–8.0) and UTI history in the mother (OR, 2.3; 95% CI, 1.5–3.7). Blood group and secretor phenotype were not associated with RUTI. In young women, risk factors for sporadic UTI are also risk factors for recurrence. Two predictors suggest that genetic/long-term environmental exposures also predispose to RUTI.
 
Reactions: PLL
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…