Binti kuwa na subira atakuoa, ni kero kumkumbusha kila baada ya miezi 6 kwa jambo aliloahidi

Binti kuwa na subira atakuoa, ni kero kumkumbusha kila baada ya miezi 6 kwa jambo aliloahidi

Shida inaanza na gharama za sherehe za siku hizi. Ikifika hatua watu wakiwa wanafanya shughuli ndogo tu, then am sure watu wengi wataolewa na kuoa bila shida. Wakati binti anakumbushia Ndoa yeye anawaza kusecure nafasi yake kama mke wa mtu ili asipotezewe muda na kukosa nafasi ya ndoa. Ila mwanaume sasa yeye anawaza kuanzia gharama za mahari,shughuli ya sherehe na gharama zake. Hii kitu huwa ni ya familia ila siku hizi cha ajabu anaachiwa mwanaume mwenyewe apambane nayo.
 
Basi na ninyi wanaume msiwasumbue mabinti za watu swala la ngono subirieni hadi mtakapoana .
 
Binti kuwa na subira atakuoa, ni kero kumkumbusha kila baada ya miezi 6 kwa jambo aliloahidi. Si kashasema ATAKUOA? Punguza kiherehere cha kila baada ya miezi 6 kukumbusha jambo lililo kwenye mchakato tayari.
Kwani tunaoa? Si tulikubaliana tukatae ndoa mbona mnatuchanganya
 
Binti kuwa na subira atakuoa, ni kero kumkumbusha kila baada ya miezi 6 kwa jambo aliloahidi. Si kashasema ATAKUOA? Punguza kiherehere cha kila baada ya miezi 6 kukumbusha jambo lililo kwenye mchakato tayari.
Nje ya mada, jee wewe umeolewa?
 
Back
Top Bottom