Binti Makamba, Lundenga, Miss Tanzania na roho zinazoelea!

Binti Makamba, Lundenga, Miss Tanzania na roho zinazoelea!

Status
Not open for further replies.
Ati Zanzibar ni Nchi.Hamuwezi hata kuendesha usafiri endelevu na ulio salama. Ndo maana naona ni ujinga na unafiki uliokithiri kuilaumu Vodacom wakati marehemu wanaelea mpaka Mombasa.Waambieni basi Voda wakaopoe maiti huko Lamu kama mmeshindwa. Hii ndio athari ya mtoto kulilia wembe, mmeupata.

Usiwe na hasira ndugu.
Zanzibar ni Nchi na imependa kuwa hivyo na hakuna wa kuwazuia.
Ila inabidi waelewe kuwa ajali si suala la muungano.
Hapo watafute miguu yao kusimama.
 
Tukitaka kujua upumbavu wa watanzania soma hao wanaojidai kuwa hakuha mahusiano kati ya biashara kichaa kama za voda za kushamiri kwa wizi wa kodi na maisha ya wazanzibar.

Huo ndio ushamba wa watanzania, kuna siku mtafiwa na Rais wa nchi nao wataendelea na biashara zao, yaani kama nyie watanzania wenyewe mnaona hasara za miss tanzania kuahirishwa ni kubwa kuiliko maisha ya watanzania wenzetu ambao hata idadi yao mpaka sasa haijajulikana japo tunajua ni zaidi ya watu 1000, mtashangaa nini kesho mkiitwa panya nchi kwenu, nataka tu niwatoe ushamba kama hii swal ingekua south africa, hawa mbwa wasingefanya hilo tukio, hapa kwa kuwa wanaotakiwa kutoa ushauri ni wakina lundenga mkorogo na mwamvita bibi y dicloaf, tunaonekan tunaosema tuna wivu.

Kitakachoendelea kuitafuna nchi yetu ni ushamba wa hawa wanaopata vyeo, na ndio ile conclusion yangu kuwa haisaidii kuwapa vyeo watanzania wasio na uzalendo maana wataishia kushibisha matumbo yao kwa kutoa sponsorship kwa ccm na matukio anayoshiriki kaka, tu na sio kubadilisha maisha ya watanzania kwa ujumla. Hili ndio tatizo, tazama wakina mafuru hivi wanaweza kuonyesha nini mchango wao pale pamoja na kupata cheo aliishia kupalilia iniative za dick omondi, alizozokuta mpaka leo wakenya wanapeta pale miaka zaidi ya mitatu tangu dick aondoke, wakina willliam kalombo wanafanya nini ambacho watanzania hawawezi kukifanya?

Hili ndi tatizo letu umaskini wa akili na mawazo shenzi kabisa mbwa hawa wasiojali watu wao lakini eti watu wangepata hasara, jamani ungeumia tu kama baba yako angefia huko wale vichanga wewe huna habari nao

Yani ji sawa na mashabiki wa Arsenali wanakufa kwa kukosa ubingwa wakati wenyewe Arsene Wenger na wenzie vitita vinaingia tu, nambie serkali ya mavumbuzi imefanya kitu gani kama yanyewe mpaka sasa na taarifa bado hazijitoshelezi, waachieni hilo jambo jamani siyo jambo la muungano!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom