Binti Makamba unatisha

Status
Not open for further replies.
kaaah!!nakumbukaaa zamanii nikisomaa nae..nilikuwa na mpigaa ma kweziii,alikuwaaa hana mvuto kabisaaa.now na mtamaniii ilaa hatanikumbukaa nilivyo paukaa huku sanyaa juu nalimaaa viazii we achaa tu

Hata sasa hivi hana mvuto, ni pesa tu, angekuwa kule kwao Lushoto analima wala usingemwangalia mara mbili. Kama unabisha subiri wadau waweke picha yake hapa tujionee!!! mwe!
 
Sioni tatizo hapo, as long as anatumia fedha ambayo ni Jasho lake.
 
mkuu rejao $2000 per night we unaona pesa ndogo? Million kama 3 kwa kulala tu!
Ni hela ndefu but inategemea na state yako ya maisha. Mwingine ataiona kubwa, mwingine ataiona ni vijisenti
 
hiyo pesa ni ya charity, yuko na charity yake inaitwa heart foundation, wanachanga mahela huku majuu ( wazungi) kwa ajili ya kusaidia watu wenye matatizo ya moyo yeye anatanua nao! ngoja niwataharifu, na hizi picha watapazipata
 
Nimeangalia hayo matanuzi, mshikaji wangu........ haya wengine huku tunashikana masharti posho za wabunge zimepanda (mtoto mwngine wa makamba ndani) wakati vi mishahara ni vidogo, serikali haitaki na wala haifikiliii kuwalipa malimbikizo watumishi wake.....

kweli this is the way the cookie crumbles......(James hadley Chase)
 
kaaah!!nakumbukaaa zamanii nikisomaa nae..nilikuwa na mpigaa ma kweziii,alikuwaaa hana mvuto kabisaaa.now na mtamaniii ilaa hatanikumbukaa nilivyo paukaa huku sanyaa juu nalimaaa viazii we achaa tu
Kama ulikuwa unampiga makonzi enzi izo, basi sa ivi na yeye ni zamu yake kukupiga makonzi! enjoy mtoto wa Makamba ukishamaliza kustarehe unaingia bungeni tukupe na uwaziri basi maisha yanaenda
 
Kama ulikuwa unampiga makonzi enzi izo, basi sa ivi na yeye ni zamu yake kukupiga makonzi! enjoy mtoto wa Makamba ukishamaliza kustarehe unaingia bungeni tukupe na uwaziri basi maisha yanaenda

Is what you have promised mwanvita relates in any way with your signature? I am of the opinion they relate.
 
wabongo fanyeni kazi acheni kupiga maneno yasiyo na tija. hata akilala hoteli inayolipa dola laki moja kwa siku ni sawa na kumbuka kulala hoteli ya dola elfu kumi kwa siku haimaanishi kuwa mshahara wake lazima uwe juu ya pesa hiyo. hapo hotelini anachopata ni huduma hachukuin pesa. sasa sielewi cha ajabu nini? unajua gari anayotembelea ni ya pesa ngapi? . fanya kazi hizo maneno zitakuzika masikini
 
Piga, ua, garagaza mwamvita yuko juu kama messi(uliona alivo wa dribble mabeki wa madrid juzi!)...she is smart kuanzia darasani mpaka kwenye vitendo...imagine anamiaka 4 tu apo voda lakini cheki izo achievements alizo fanya....jaman kama kuna mtu ana mchongo wa voda tushtuane
 
Kweli habari za tajiri muulize maskini, hatakosa cha kukumbia
 
hiyo pesa ni ya charity, yuko na charity yake inaitwa heart foundation, wanachanga mahela huku majuu ( wazungi) kwa ajili ya kusaidia watu wenye matatizo ya moyo yeye anatanua nao! ngoja niwataharifu, na hizi picha watapazipata

acha uwongo wako nani amekwambia anazitanulia izo ela....usikute unatamani unekua wewe :eyebrows:
 
Kumbe Rejao wakati mwingine unaweza kuwa mkombozi, tuliisha fungwa kamaba!!!!!!!!

 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…