babu M
JF-Expert Member
- Mar 4, 2010
- 5,222
- 3,173
Your comment is utterly absurd..is not a jasho, pesa za heart faundation
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Your comment is utterly absurd..is not a jasho, pesa za heart faundation
Inakuhusu nini wewe???:juggle:
hiyo pesa ni ya charity, yuko na charity yake inaitwa heart foundation, wanachanga mahela huku majuu ( wazungi) kwa ajili ya kusaidia watu wenye matatizo ya moyo yeye anatanua nao! ngoja niwataharifu, na hizi picha watapazipata
Toa udhibitisho zaidi wabishi wasije wakapoteza muda wao bureYule mzungu walipata mtoto mmoja then wakaachana, sasa ivi ana mtu mwingine, na anakaa mbezi beach.
Burj al Arab nijuavyo mimi per night ni dola elfu 10
mshahara wake ni dola sijui kiasi gani lakini itakuwa zaidi ya hiyo
safi sana mama huu ndio wakati wako kula nchi na kilichobaki tafuta kijana unayeendana naye akupe kampani tuuu
hivi jamani nafasi za kazi voda zipo?
AN AMAZING DAY WITH MY FRIEND...
huyu ndio kiboko ya ma sista duu wa Dar...mkwanja anao...ofisi ni airpot lounges, hana shida ya pesa, mume mzungu what more could a girl ask for?
Hata sasa hivi hana mvuto, ni pesa tu, angekuwa kule kwao Lushoto analima wala usingemwangalia mara mbili. Kama unabisha subiri wadau waweke picha yake hapa tujionee!!! mwe!
Toa udhibitisho zaidi wabishi wasije wakapoteza muda wao bure
Mmmekalia uchumi wenu...utumieni mkakae kwenye hotel nzuri,..mwenzenu anatumia vizuri
Nilikuwa nina maanisha udhibitisho wa huyo mtu mwingine aliyeshatia nanga ili watu wasikupoteza muda
Sasa unapatikanaje na sisi hii Christmas tukakae kwenye hotel nzuri?Mmmekalia uchumi wenu...utumieni mkakae kwenye hotel nzuri,..mwenzenu anatumia vizuri
Nilikuwa nina maanisha udhibitisho wa huyo mtu mwingine aliyeshatia nanga ili watu wasikupoteza muda
Sasa unapatikanaje na sisi hii Christmas tukakae kwenye hotel nzuri?
Hivi kumbe mtu unaweza kuwa kichwani hazimo afu ukazaa mitoto ina akili
View attachment 43222
Acha ajiachie,hana cha sijui baba kaishiwa,baba yake anakula pension .Hongera makamba you worked hard now your kids ni matawi ya juu
Possibly Mkuu, vipi una wasiwasi huenda Janualy ni mtoto wa kusingiziwa? nadhani tufanye utafiti inawezekana mama yao kina Janualy Upstairs yuko vizuri ndio maana Janualy atleast anaonekana ni kijana makini kiasi chake.