Sumba-Wanga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 5,353
- 1,234
she looks so lovely with her daughter Malaika.. matunda ya familia bora hayo si ya mishahara ya vodacom,, anapewa pocket money na baba yake as long as mshua pesa ipo so mwache ale raha, afikirii matofali wala kiwanja kwa nini ajibane,, jamani wadau na sisi tujitume watoto wetu wa enjoy,,
she looks so lovely with her daughter Malaika.. matunda ya familia bora hayo si ya mishahara ya vodacom,, anapewa pocket money na baba yake as long as mshua pesa ipo so mwache ale raha, afikirii matofali wala kiwanja kwa nini ajibane,, jamani wadau na sisi tujitume watoto wetu wa enjoy,,
Umeandika "Mmmekalia uchumi wenu...utumieni mkakae kwenye hotel nzuri,..mwenzenu anatumia vizuri" Unatupa impression kwamba wa kwako huko richabo, sasa watu tukianza kubipu unakuwa mkali tena! Nina wasi wasi kama unaelewa hiyo statement yako inatoa tafsiri gani.Uchumi umeukalia miguuni mwako.....kwani huuoni?? jaman na wewe unakuwa mtoto kiasi hicho? wewe si ni great thinker??
Ni hela ndefu but inategemea na state yako ya maisha. Mwingine ataiona kubwa, mwingine ataiona ni vijisenti
Umeandika "Mmmekalia uchumi wenu...utumieni mkakae kwenye hotel nzuri,..mwenzenu anatumia vizuri" Unatupa impression kwamba wa kwako huko richabo, sasa watu tukianza kubipu unakuwa mkali tena! Nina wasi wasi kama unaelewa hiyo statement yako inatoa tafsiri gani.
Hahahaaa...... Chief, kama vipi muibukie na TULISOMA WOTE KIDATO KIMOJA.......... wewe ni yule yulekaaah!!nakumbukaaa zamanii nikisomaa nae..nilikuwa na mpigaa ma kweziii,alikuwaaa hana mvuto kabisaaa.now na mtamaniii ilaa hatanikumbukaa nilivyo paukaa huku sanyaa juu nalimaaa viazii we achaa tu
Nitakuwa nina danganya kama jibu ni "hapana" Mtoto mwenye umbo zuri kama hilo atakiwi kuwa mpwekeWhat if ni wewe mwenyewe?
Ningekuona wa maana kama ungeuliza Bank statement, nyumba wanakimbilia kujenga watu Maskini wasiokuwa na uhakika na kesho yao, watu wenye pochi anaangalia ni appartment gani nzuri ya kuishi Masaki. pesa ndio mpango mzima.mwenye picha ya nyumba yake na picha ya gari lake analotumia tafadhali aweke tusaminishe tuone kama kajijenga kweli au kuuza sura tu...
Au details kuhusu hivyo vitu
ningekuona wa maana kama ungeuliza bank statement, nyumba wanakimbilia kujenga watu maskini wasiokuwa na uhakika na kesho yao, watu wenye pochi anaangalia ni appartment gani nzuri ya kuishi masaki. Pesa ndio mpango mzima.
Hey Sanya Juu ipi nikuletee walau mafuta ya kujipaka? Ntakuungisha na kwenye viazi.kaaah!!nakumbukaaa zamanii nikisomaa nae..nilikuwa na mpigaa ma kweziii,alikuwaaa hana mvuto kabisaaa.now na mtamaniii ilaa hatanikumbukaa nilivyo paukaa huku sanyaa juu nalimaaa viazii we achaa tu
Mtoto wa kiislamu mbele ya watoto wa Kiislamu
U celebrity na mitandio na manguo mengi wapi na wangi?? Ucelebrity na mavazi ya kizungu kama hayo. Angevaa kama mtoto wa kiislam angetanuaje huko Dubai! Ebo....
Unafiki mtupu......wako na wake
MMh na mimi tena....tehe tehe
So what are the diferences between the two pictures......
Hivi kumbe mtu unaweza kuwa kichwani hazimo afu ukazaa mitoto ina akili
View attachment 43222