Arifu...unapimam vipi mtu kufanikiwa? kukaa kwenye hotel kubwa kwa pesa ya charity?Piga, ua, garagaza mwamvita yuko juu kama messi(uliona alivo wa dribble mabeki wa madrid juzi!)...she is smart kuanzia darasani mpaka kwenye vitendo...imagine anamiaka 4 tu apo voda lakini cheki izo achievements alizo fanya....jaman kama kuna mtu ana mchongo wa voda tushtuane
She is a Moslemess in the day a hooker in the night :lol:
Arifu...unapimam vipi mtu kufanikiwa? kukaa kwenye hotel kubwa kwa pesa ya charity?
Au kuvaa CL?
Au unapimaje achievement arifu? mimi hapa ndio nakoma na wabongo aisee.....
tehe tehe teeh arifu mie nakoma na wabongo aisee......huwa naangalie ile blog ya MK nakoma na wabongo hasa wadada wa hapa town dar....siku hizi ukipita kwenye makumbi ya starehe wako very busy kusaka wazungu nao "watoke kimaisha " kama mange......Kuwa kama Lucy Kibaki........tehe tehe tehe
tehe tehe teeh arifu mie nakoma na wabongo aisee......huwa naangalie ile blog ya MK nakoma na wabongo hasa wadada wa hapa town dar....siku hizi ukipita kwenye makumbi ya starehe wako very busy kusaka wazungu nao "watoke kimaisha " kama mange......
Mwamvita kama ni kupiga picha na kulala kwenye hotel hio ni mafanikio?
tehe tehe teeh arifu mie nakoma na wabongo aisee......huwa naangalie ile blog ya MK nakoma na wabongo hasa wadada wa hapa town dar....siku hizi ukipita kwenye makumbi ya starehe wako very busy kusaka wazungu nao "watoke kimaisha " kama mange......
Mwamvita kama ni kupiga picha na kulala kwenye hotel hio ni mafanikio?
mkuu...mi kunipigaa makweziii itakuwa ngumu,siko level zake walaa hatuwezi kukutana kwenye club au sehemu zake za starehe,bia yangu galiii ni banana zoro na chibuku.mademu wangu mama waunzaa na mama ntilie.na nilivyo kijebaaa nimekomaa hawezi nitambuaaaKama ulikuwa unampiga makonzi enzi izo, basi sa ivi na yeye ni zamu yake kukupiga makonzi! enjoy mtoto wa Makamba ukishamaliza kustarehe unaingia bungeni tukupe na uwaziri basi maisha yanaenda
Kama mtu wa Public Relations kutoka nchi masikini kama Tanzania, Mwamvita Makamba ameonyesha poor judgement kuji-parade katika namna inayoonyesha disparity ya maisha kati ya walio nacho na wasio nacho Tanzania.
This self exposing tactless and simply tastelessly tacky parade, whether intended at lording it over those who worship consummerism and showism or a genuine lack of judgement from a partying airhead, could only be celebrated by imprudent charlatans, not the genuine articles of Public Relations.
I have never seen, say, a Franklin Mziray parading himself like that, not that Mr. Mziray doesn't know how to party and shop and have a good time. And Mziray is not even the beacon of responsibility, just to show you how embarrassing this woman -she of holding Miss Tanzania contest on the day after a national disaster infamy- is to the profession and her cadre of Tanzanian women.
U-Turn of all places? Just goes to show you how lacking our collective talent pool is.
Oh, wait. What am I talking about? She did not even get where she is because of talent, rather, her last name.
So she naturally carries that out-of-touch-with-reality elitist entitlement. No wonder she is exposing herself like some nouveau-riche kid from the ghetto.
Perhaps she very well is and that's how this can make sense.Most of the oligarchy were empty titles and no money until very recently.
That is the question to ask!!
hiyo ndo tofauti ya huyu binti na mademu wengi bongo!!!!kuna mademu wanafikiria weekend waende ngwasuma,jahazi sijui continental khanga moja!nguo akanunue mwenge au ilala!.......yeye bata ndefu hakuna mwandishi wa risasi,sani au kiu anaweza kugusa apate picha za kuuzia gazeti!................LG
Siku nikikutana nae kwenye anga zangu ntaingiza voko
hiyo ndo tofauti ya huyu binti na mademu wengi bongo!!!!kuna mademu wanafikiria weekend waende ngwasuma,jahazi sijui continental khanga moja!nguo akanunue mwenge au ilala!.......yeye bata ndefu hakuna mwandishi wa risasi,sani au kiu anaweza kugusa apate picha za kuuzia gazeti!................LG
Msanii wa filamu Irene uwoya aliwahi kusema ungekuwa hunipendi usinge niongelea,kwa hiyo kumbe tuna mpenda mwamvita na tuna ipenda u turn.
Sasa kwa nini watu huwa wanaiponda sana hapa jf huku kuna ushahidi wa wazi kuwa watu wanai tembelea,huwa najiuliza kwani kuna ubaya gani kukubali tu mtu anapofanya jambo zuri.
Mfano mwamvita anajua kuvaa vizuri,kuliko wasichana wengi,anavaa nguo expensive na very ellegant kwani huo si ukweli tu,ila ukisema mtu anakasirika kama vile umemwambia yeye hapendezi au hajui kuvaa he!
Mtu hujikuna mkono unapofikia. Wewe ulitegemea waende kutanua Dubai wakati hawana uwezo wa kufanya hivyo. Kila mtu ana uwezo na bahati yake. Na bahati ya mwenzako usiilalie mlango wazi. Ridhika na ulichojaaliwa kuwa nacho. Usimuige tembo anavyokunya maana utapasuka msamba
Yes! Next question.
Mtu hujikuna mkono unapofikia. Wewe ulitegemea waende kutanua Dubai wakati hawana uwezo wa kufanya hivyo. Kila mtu ana uwezo na bahati yake. Na bahati ya mwenzako usiilalie mlango wazi. Ridhika na ulichojaaliwa kuwa nacho. Usimuige tembo anavyokunya maana utapasuka msamba