Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,619
mimi sio mdau wa haya mambo but huyu dogo kanivutia kwa kweki ana kipaji natural, ni mkali jamani sema ndo hivo wabongo hatupo fair ,yule wababa wanamfagilia sijui ana nini,sijui ana tunguri yule,au vile kasuka? anyway tuyaache hayo
tusahau ya uamsho ,sisi sote ni ndugu
tumpeni kura jamani
piga kura yako
ebs 09 kwenda 15530