Binti mashalah, anayepinga akaapeal kwa MUNGU!

Binti mashalah, anayepinga akaapeal kwa MUNGU!

Fitna hizo Smile! Sasa mbona Salma na yeye Vocal hana?
huyo walter ana nini cha tofauti amtafute diamond akacheze nae shoo zao zile
salma yupo juu mwanzo mwisho bana...wabana pua tupa kule
 
huyo walter ana nini cha tofauti amtafute diamond akacheze nae shoo zao zile
salma yupo juu mwanzo mwisho bana...wabana pua tupa kule
Ndo Alivyo Walte bana habani pua kabisa ! Sauti yake ipo yuniki kabisa
 
sijawahi kuona contribution ya BSS kwenye muziki wa Tanzania
 
Nimkali sana huyu dogo na ndo mshindi wa mwaka huu akifuatiwa na wolter wababa co kwamba ni ndumba Ila jamaa anajua kubutudisha mashabiki kuliko wote ndio maana watu wengi tunamfagilia Ila chilambo ni funika bovu ni anatisha vibaya sana
 
Nimkali sana huyu dogo na ndo mshindi wa mwaka huu akifuatiwa na wolter wababa co kwamba ni ndumba Ila jamaa anajua kubutudisha mashabiki kuliko wote ndio maana watu wengi tunamfagilia Ila chilambo ni funika bovu ni anatisha vibaya sana
mi wababa simfagilii kabisa jamani?
 
Salam J huwa hawafagilii mabinti wazuri kama huyu! kabinti ni multi-talent.
BSS ni kupanga karata vizuri i.e song selection,kumiliki jukwaa n.k
 
huwa sifuatilii hayo mashindano ya umiss, hivi mwaka 2012 yalikuwepo???? i know nothing about misiii


Ya Miss Tanzania Vodacom jee.. Umeshawahi kuiona contribution yake kwa wabongo..?
 
Back
Top Bottom