Oooh ulifanya vyema kwenda kijijini huwa kuna test nzuri ya uasilia rafiki.Ni kweli december sikuwa online nlikua kijijini sitimbi π hamna network
Dah kweli wana upendo asee, yani wakati tunaondoka alikuja mdada mmoja anatukimbilia akatoa buku mbili kwenye kanga nikanywe soda...I saw that's love kwakweli alinipa alichokua nacho hakikua zaidi kuna watu Wana upendo wa dhatiOooh ulifanya vyema kwenda kijijini huwa kuna test nzuri ya uasilia rafiki.
Hope uli enjoy sana kula vyakula vya asili ukizungukwa na watu wenye upendo wa kweliπ€£
Usijali utapata mwingine, mawakala ni wengiNimekubali Tu yaishe ...hajibu hata SMS
Aiseee!Dah kweli wana upendo asee, yani wakati tunaondoka alikuja mdada mmoja anatukimbilia akatoa buku mbili kwenye kanga nikanywe soda...I saw that's love kwakweli alinipa alichokua nacho hakikua zaidi kuna watu Wana upendo wa dhati
Nasubiria picha ya huyo dada πSawa mkuu
Wewe huhitaji kasichana?Nasubiria picha ya huyo dada π
Hapana rafiki mi sihitaji, labda nahitaji mtu wa kumuoa huyu msichana wangu amekaa kwangu karibia mwaka wa saba sasaWewe huhitaji kasichana?
Wewe ni mzazi bora.Hapana rafiki mi sihitaji, labda nahitaji mtu wa kumuoa huyu msichana wangu amekaa kwangu karibia mwaka wa saba sasa
Last born akifikisha 5years naanza harakati rasmi za kumtafutia mchumba sasa ntaanza hapa home jf ππWewe ni mzazi bora.
ITapendeza ukimwoza atakushukuru sana
Hiyo if....πLast born akifikisha 5years naanza harakati rasmi za kumtafutia mchumba sasa ntaanza hapa home jf ππ
Alipata kazi?Anatafuta kaz za ndani ...mshahara kuanzia 60 ...
You're missed my man.Anaishi Dar?Dar wapi ?kimara? Buza?
Au yupo Mwanza ..au Geita ?
Au Arusha ..Njiro au Moshi?
Tangazo halijakamilika
Hongera Cc ephen_Ndiyo mvulana