Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kukumiss kunahusiana vipi na passport lakini?😅Sitaki,si passport yangu ulichana
Niambie mamangu mzuri
Unafahamu nakukubali mamaThank you much❤
Ungeweka picha kuna watu wangepanda dau zaidi
Wakala aliku-unblock? Au umemuachia tu Mungu 😃Anaishi Dar?Dar wapi ?kimara? Buza?
Au yupo Mwanza ..au Geita ?
Au Arusha ..Njiro au Moshi?
Tangazo halijakamilika
Ninakumiss sana rafiki.Wakala aliku-unblock? Au umemuachia tu Mungu 😃
Haha kazi za ndani zipo nyingi mkuu,,,ni vyema kumuongezea malupulupuMkuu unataka kuoa kwani?
Msiwachukulie poa kiasi hiki wanawake mkuu.Haha kazi za ndani zipo nyingi mkuu,,,ni vyema kumuongezea malupulupu
Oooh G nimekumiss pia....nipo rafiki, sorry sikuona salamu za christmas nisingeacha kujibu nisamehe bureNinakumiss sana rafiki.
Ulipotea sana.
Nilikutakia krismaa njema hata hukujibu
Vipi kuhusu sisi wanaume ambao,,wadada wa kazi,wanatutaka wenyeweMsiwachukulie poa kiasi hiki wanawake mkuu.
Tuwaheshimu na tuheshimu hizo huduma za uyaya pia.
I wish wanaume wote tungewajaki hawa viumbe dunia ingekuwa tamu sana.
Hata hivyo hukuwa active sana kipindi flani.Oooh G nimekumiss pia....nipo rafiki, sorry sikuona salamu za christmas nisingeacha kujibu nisamehe bure
Unamwelimisha tu na kumuonya mkuuVipi kuhusu sisi wanaume ambao,,wadada wa kazi,wanatutaka wenyewe
Ni kweli december sikuwa online nlikua kijijini sitimbi 😁 hamna networkHata hivyo hukuwa active sana kipindi flani.
Nafurahi kukuona tena mnyange
Nimekubali Tu yaishe ...hajibu hata SMSWakala aliku-unblock? Au umemuachia tu Mungu 😃