MTOTO YATIMA
Senior Member
- Jul 1, 2012
- 147
- 58
MTOTO YATIMA , wenzio wanatolewa nje kila siku mbona hawalii
kuna watu wako jela wamefungwa maisha
kuna watu wamepata ajali wamekuwa walemavu milele
kuna watu wamefukuzwa kazi na wana familia zinawategemea
kuna watu wanaugua magonjwa yasiyo na tiba
wewe unaogopa kupigwa kibuti? yaani hiko ni kitu cha kuwasimulia watu kuwa ni tatizo?
Jamani kuna binti ambaye nimetokea kumpenda sana kupita maelezo, tunachart facebook na pia kwene simu sana tu ki ukweli kwa upande wangu naona amekidhi viwango but nimeogopa kumtongoza kwasababu nahohofia akinitolea nnje itakuweje nataman sana kuwa naye bt nikifikiria suala la kuambiwa tena your late ninaona itaniumiza sana.
Nilisha wahi kuonana naye face to face mara moja tu .plse naomba msaada wenu.
Jamani kuna binti ambaye nimetokea kumpenda sana kupita maelezo, tunachart facebook na pia kwene simu sana tu ki ukweli kwa upande wangu naona amekidhi viwango but nimeogopa kumtongoza kwasababu nahohofia akinitolea nnje itakuweje nataman sana kuwa naye bt nikifikiria suala la kuambiwa tena your late ninaona itaniumiza sana.
Nilisha wahi kuonana naye face to face mara moja tu .plse naomba msaada wenu.
kuna watu wako jela wamefungwa maisha
kuna watu wamepata ajali wamekuwa walemavu milele
kuna watu wamefukuzwa kazi na wana familia zinawategemea
kuna watu wanaugua magonjwa yasiyo na tiba
wewe unaogopa kupigwa kibuti? yaani hiko ni kitu cha kuwasimulia watu kuwa ni tatizo?