Binti mmoja

Binti mmoja

MTOTO YATIMA

Senior Member
Joined
Jul 1, 2012
Posts
147
Reaction score
58
Jamani kuna binti ambaye nimetokea kumpenda sana kupita maelezo, tunachart facebook na pia kwene simu sana tu ki ukweli kwa upande wangu naona amekidhi viwango but nimeogopa kumtongoza kwasababu nahohofia akinitolea nnje itakuweje nataman sana kuwa naye bt nikifikiria suala la kuambiwa tena your late ninaona itaniumiza sana.
Nilisha wahi kuonana naye face to face mara moja tu .plse naomba msaada wenu.
 
kuna watu wako jela wamefungwa maisha
kuna watu wamepata ajali wamekuwa walemavu milele
kuna watu wamefukuzwa kazi na wana familia zinawategemea
kuna watu wanaugua magonjwa yasiyo na tiba


wewe unaogopa kupigwa kibuti? yaani hiko ni kitu cha kuwasimulia watu kuwa ni tatizo?
 
kwa kuwa mmeshaonana,mbona ni rahisi.ila mapenzi ya siku hizi,mambo ya kuanza kujuana face book,mara nyengine mtu anakuwa ana chati na zaidi ya wewe.au labda na yeye ameshakupenda,anasubiri umuanze.tiririka kwake
 
MTOTO YATIMA , wenzio wanatolewa nje kila siku mbona hawalii
 
Last edited by a moderator:
Wanawake wanahitaji wanaume wanaojiamini, kutongoza tu una 0.5/100, mambo mengine itakuwaje!
 
kama umeweza kulisema hili mbele ya kadamnasi basi jikakamue umueleze huyo kigoli, ila hakikisha shughuli hiyo unaifanya ana kwa ana,sehemu yenye utulivu
 
Mwaga sumu kijana akitapiga ujue sio riziki, akimeza shwari vinginevyo utabaki na kisebusebu wajanja watakuja kukuwahi.
 
mkuu umesema amekidhi viwango! ni viwango gani? umesema mmekutana fb, unafahamu tabia zake? kwa ushauri wangu, mvute taratibu km rafk mchunguze kabla hujafunguka ujue tabia zake, kuonana cku 1 co kigezo ama mwnzetu una vigezo tofaut?
 
kuna watu wako jela wamefungwa maisha
kuna watu wamepata ajali wamekuwa walemavu milele
kuna watu wamefukuzwa kazi na wana familia zinawategemea
kuna watu wanaugua magonjwa yasiyo na tiba


wewe unaogopa kupigwa kibuti? yaani hiko ni kitu cha kuwasimulia watu kuwa ni tatizo?

Pengine term 'kibuti' ngeni kwake so kila akiwaza jinsi yakuli-handle anadata,..hajawah kuachwa wala kuambiwa 'No,i have a boyfriend..'
 
Kweli yatima haachi malalamiko, mtokee ukitoswa jipange kwingine mademu ni urithi wetu.
 
Jamani kuna binti ambaye nimetokea kumpenda sana kupita maelezo, tunachart facebook na pia kwene simu sana tu ki ukweli kwa upande wangu naona amekidhi viwango but nimeogopa kumtongoza kwasababu nahohofia akinitolea nnje itakuweje nataman sana kuwa naye bt nikifikiria suala la kuambiwa tena your late ninaona itaniumiza sana.
Nilisha wahi kuonana naye face to face mara moja tu .plse naomba msaada wenu.

Kwani si facebook? Mapenzi mazuri sana yasiyohitaji gharama na kupotezeana muda na kuyabadilisha ni kujitafutia matata!
 
Jamani kuna binti ambaye nimetokea kumpenda sana kupita maelezo, tunachart facebook na pia kwene simu sana tu ki ukweli kwa upande wangu naona amekidhi viwango but nimeogopa kumtongoza kwasababu nahohofia akinitolea nnje itakuweje nataman sana kuwa naye bt nikifikiria suala la kuambiwa tena your late ninaona itaniumiza sana.
Nilisha wahi kuonana naye face to face mara moja tu .plse naomba msaada wenu.

:mimba::mimba::mimba::busu ndivyo inavyotakiwa sawa..
 
kuna watu wako jela wamefungwa maisha
kuna watu wamepata ajali wamekuwa walemavu milele
kuna watu wamefukuzwa kazi na wana familia zinawategemea
kuna watu wanaugua magonjwa yasiyo na tiba


wewe unaogopa kupigwa kibuti? yaani hiko ni kitu cha kuwasimulia watu kuwa ni tatizo?

tell him The JF king of MMU..:coffee:
 
mademu wa fesibuku uwa hawakatai... tupia saundi uone, mi nshawala kibao tu
 
yan tunaendana kwa mila na destur kwa maana ya kabila, pili sura yake inamvuto wa kutosha kwangu, tatu siyo sister du, na ni mpenda dini, na mwisho kwa jinsi nlivyo jitahid kumchunguza anapenda kujitma !
 
Back
Top Bottom