Binti mpweke inakuhusu hiii....

Bisek

Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
77
Reaction score
10
Natafuta binti mchangamfu,mwenye upendo wa kweli..dini na kabila lolote...umri usizidi miaka 35..rangi yoyote mnene wa wastani.Kama una sifa hizi tafadhali ni inbox tufanye mawasiliano
 
Ukimpata usiache kuja kutujulisha Jamvini..!
 
jamaa kaniboa kweli.....ngoja nikuPM......
 
Mmmhh dini yoyote!!!kabila lolote!!!kila la kheri nakuombea!!
 
Mbona wewe huelezi sifa zako mwanangu? Pia uangalie wasijejitokeza "mabinti" wanaofiti wakaishia kuwa wanigeria. Maana siku hizi wamejazana Sinza pale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…