Natafuta binti mchangamfu,mwenye upendo wa kweli..dini na kabila lolote...umri usizidi miaka 35..rangi yoyote mnene wa wastani.Kama una sifa hizi tafadhali ni inbox tufanye mawasiliano
Mbona wewe huelezi sifa zako mwanangu? Pia uangalie wasijejitokeza "mabinti" wanaofiti wakaishia kuwa wanigeria. Maana siku hizi wamejazana Sinza pale.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.