Yamakagashi
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 8,614
- 17,626
Bilioni moja over night ? Sijui ila hongera zake huyu anapasua anga anamwacha Flaviana mbali sana ,Victoria's Secret fashion show kutuboa mchezo ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TURIPE = TULIPEAkitokeza nchini tu utasikia" wewe ni binti yetu na ukitaka kuishi kwa amani we TURIPE KODI yetu ya mapato unayoyapata huko kwa sababu ni kodi ya watansania irimpereka mama yako ughaibuni". Hatuwezi kukubali nchi kupoteza mapato mengi kiasi hicho na usiporipa vijana wangu watakukamata"
Akiolewa na mudhungu tu imekula kwakeOngera zake akumbuke na nyumbani sio azilie uko uko
Hongera zake. Sasa hivi vijana wataanza kumnyemelea
Usikute walishakabeba kitambo tu watu wanajua kutumia fulsaAkiolewa na mudhungu tu imekula kwake
ma "mario"Hongera zake. Sasa hivi vijana wataanza kumnyemelea
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Gigy maela yy vipi huko hajapata nafas ya kuonyesha hizo chupi?
Mambo vipi Faiza..Utumwa mambo leo.
Mwanamke anaanikwa uchi halafu mnasifia!
Are you sure?Sold Their Soul To The Devil
Afu kastaarabu kweli YanAma kweli lilia bahati na sio uzuri,kila nikimuangalia Herieth...
Basi tu.
Hongera my dear.
Wish you best of lucky.
Huyu mange kimambi kwanini kila nikimfollow ana ni unfollow katika Instagram account yake? Hebu nisaidie niweze kumpata.mange kimambi nimeona amemsifia sana huyu insta