[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Gigy maela yy vipi huko hajapata nafas ya kuonyesha hizo chupi?
ukweli mtupu.Masupastaa wa nchi zilizoendelea , wanafahamika kwa kazi za mikono yako na mafanikio ya kiuchumi. Wasnii wa nchi zetu hizi, wanafahamika kwa skendo na maisha ya kuigiza kwani hawana kitu.
....teh hee hee...kwa kikorosho hiki usije anza kumchukia hadi mama'ko!Miguu imekomaa lakini.....
Hizo ndio channel gani tena watangazaji ni ma grandpapa na magrandmother!Supermodel Herieth Paul gives Sid Cratzbarg some pointers for walking the runway
Source: Rogers TV
Huyo ndiyo "Lundenga" wao wa TV huko Canada yupo miaka mingi.Hizo ndio channel gani tena watangazaji ni ma grandpapa na magrandmother!
Sold Their Soul To The Devil
Sio kwa Tz, hapa bongo lazima uchalazqw k na matako, uliza akina mobeto
Mcanada mwenye asili ya Tanzania. Kazi nzuri
Labda ni bilioni moja za Zimbabwe.
Leo umeongea kitu cha maana .......popote ulipo kula bia nakuja kulipa🙂Utumwa mambo leo.
Mwanamke anaanikwa uchi halafu mnasifia!
haijalishi mwenzio na miguu yake katengeneza 1 billion........wewe je?Miguu imekomaa lakini.....
Aisee hata mimi nimeshtukia. Mara nyingine anatambulishwa kama canadian na maranyingine Tanzanian. Sijui ndio hao lukuvi anasema wamejilipua na inabidi Tanzania wapeleke helayao kama investor. Huyu angejitambulisha kama Mtanzania ni publicity ya kutosha kuliko wanavyotanza kwenye mabango marekaani na uingereza.
Ni mcanada mwenye asili ya Tz. Alizaliwa Tz ila kakulia Canada na anatumia pasi ya Canada hivyo ni mcanada since Tz hatuna raia pacha.