Binti rafiki na hatimae kuwa mke wa ndoa::

Binti rafiki na hatimae kuwa mke wa ndoa::

Dowd

Member
Joined
Nov 15, 2018
Posts
6
Reaction score
5
Habari za jukwaa Hili”

Nahitaji kuwa na mahusiano ya Karibu na binti/ mdada mwenyewe ndoto za kujenga familia(kuolewa) awe mtu mwenyewe malengo na maisha... umri wangu ni miaka 32yrs nipo dsm’ kama upo serious tafadhali njoo pm tupate wasaha mzur wa kujuana:
 
Habari za jukwaa Hili”

Nahitaji kuwa na mahusiano ya Karibu na binti/ mdada mwenyewe ndoto za kujenga familia(kuolewa) awe mtu mwenyewe malengo na maisha... umri wangu ni miaka 32yrs nipo dsm’ kama upo serious tafadhali njoo pm tupate wasaha mzur wa kujuana:
Kila la heri
 
  • Thanks
Reactions: Sax
miaka 32 bado tu huna ujasili wa kumfuata mwanamke ana kwa ana ili umwambie hitaji lako kwake?.

kwakweli hauko sahihi juu ya hili.
 
Back
Top Bottom