Binti wa kazi kapigwa mimba na vijana wa ovyo mtaani

je parle

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2018
Posts
2,022
Reaction score
3,919
.
Akasema basi ntasubiri mpaka utakapo pata ndio nitaondoka!

Kumbe hapo alishaenda kununua vitu vyake kwa ajili ya safari..

Wife akasema usilazimishe mwache aende tu, basi Mimi kupiga simu kwao kuwa mwanawenu anarudi wakasema sawa nikaenda kukata tiketi na kumpa siku ya pili yake na kumsimdikiza KUPANDA gari na kuenda kwao. Tukaishia hapo usiku akanicheki nimefika salama haya poa.

Kisanga.!
Zimepita takriban wiki 3 Kuna bint mmoja MTAANI nadhani walikuwa na urafiki WA hapa na pale akaniambia hivi unajua mdogo wako ana mimba.???? Nikamwambia hapana sijui.

Akaniambia ana mimba na aliempa mimba kaikataaa

Mmmh, kaikataa kwanini na yeye ndio kahusika
Mdogo wako mwenyewe mapepe alikuwa na mabwana wawili ila anasema huyo mmoja alishakuacha na huyu WA pili ndio kaikataa mimba! Kwahiyo mnafanyaje ??? Tunafanyaje tena mbona atajua yeye Cha kufanya.!?

Nikajiuliza Ina maana yule bint upole wote ule na 16 yrs kumbe alikuwa anamiliki mabwana wawili??

Basi wadau ndio kilichonikuta nadhani aliondoka baada ya kujua kashanasa mimba ingekuwa aibu mtaani ili kuzima soo ikabidi arudi kwao kijijini.

Sasa madhara atapata mtoto hapa maana anakuwa hana baba WA kueleweka atakuwa na familia ya upande mmoja tu
 
Pole sana

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Amini Maneno yangu Mkuu, Mke wako kuna mahala anafeli, haiwezekani abadani Mdada wa Mtaani ajue mahusiano ya binti yako mpaka akusimulie wewe, mkeo bila kujua. Mkeo kazi yake ya kwanza nyumbani ni kufanya intelejensia ya Wanafamilia wooote na wewe ni DG wa kupewa hizo intelejensia uzichakate na kufanyia kazi.

Brooo stuka, mkeo anafeli kazi. Mkeo anatakiwa arudi darasa la maisha ya malezi ukipuuuza kesho watajazwa wanao wa Damu. Over
 
Mkuu huyo binti wa kazi mm ndo nlikuwa namchakata na nina mawasiliano nae mazuri.....mke alikua anajua Kila Kitu sema hakukwambia hapa nawaza na yy sijui nimpe mimba maana msiri sana
 
Hebu kwanza kama kuna kitu sijakielewa hivi Rais wa mtaa, huyo rafiki yake na binti yako wa kazi mna ukaribu gani mpaka mkakaa na kuteta yote hayo..?!! Wewe kuna page umechana.
Ngoja atoke kudai madeni yake ya kausha damuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ana kampuni ya kutoa mikopo kwa riba katili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…