Binti wa kazi kapigwa mimba na vijana wa ovyo mtaani

Ni watu ambao tunasalimiana Kila siku napita hapo kwao.
Ndio mjadili yote hayo ya idadi ya wanaume aliokuwa nao binti yako wa kazi?!! Halafu umesema anakuita kaka, kaka gani ww huogopeki unatajiwa had madanga ya mdogo wako?!
Km hujamla huyo mtoa ubuyu, basi binti yako wa kazi umepita naye..!!!!
 
Ila wewe haumo humo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…