Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Ha! Ha! Ha! Ha!hiyo bahati mbona miye hainikuti?
Ni bahati mbaya tu kuwa walikuja kuachana.
Huyo binti alijilipua mazima akatengwa ila hakujali.
Penzi lao lilikuja kufa pale yule kijana alipoamua kuoa mswahili mwenzake na yule muhindi hakuamini jinsi alivyompenda jamaa kuna siku atakuja kumuolea mke wa pili.
Anyway life goes on.
Daaaaaaaaaaaaah...! [emoji15]Ni bahati mbaya tu kuwa walikuja kuachana.
Huyo binti alijilipua mazima akatengwa ila hakujali.
Penzi lao lilikuja kufa pale yule kijana alipoamua kuoa mswahili mwenzake na yule muhindi hakuamini jinsi alivyompenda jamaa kuna siku atakuja kumuolea mke wa pili.
Anyway life goes on.