Duh, hii kali!Kumbe nia yako pia ni kujua kihindi. Zama mwanamgu halafu mpe hizi:
Kura suche Gazeti! (Huku unatingisha kishwa kama Dr. Patel) = mimi naitwa Gazeti
Para naum suche? = unaitwa nani?
Anaweza jibu: Suche Krishna = naitwa Krishna
Kisha mwambie: Barabara, kayne gud suchian = Safi, jina zuri sana
Mwongeze (huku unatabasamu): gamu che suchian satra galu gamuache' = nimependa jina lako kama navyokupenda wewe mwenyewe
Sasa usije ukabugi ukaongea kwa nguvu babaake akakusikia, manake jambo la kwanza ataona ulishawahi kuwa mfanyakazi wa ndani kwa wahindi (Juma) kwa hiyo atapata sbb zaidi za kuhakikisha hufanikiwi
Nina miaka ya lawama, yaani haijaenda sana lakini ni ile ambayogazeti kwanza hebu tuambie una miaka mingapi na unamvuto na je una uwezo
Kwanini mtu akimpenda mwanamke wa rangi tofauti basi andharau weusi?mimi tatizo langu ni sisi wanaume wa kiafrika
ukimpata mwanamke wa kihindi au kiarabu....uko tayari kufanya lolote
kumfurahisha......kuliko mwanamke mswahili mwenzio.....
uko tayari kutumia pesa nyiingi na kumdekeza kila aina
lakini mwanamke wa kiswahili utashindana nae hata matunzo ya watoto.....
tunathamini rangi zingine kuliko tunavyojithamini sisi wenyewe....upumbavu saana huu
Kha!!..... hii kali.mkuu sitaki kutoa hitimisho kama wewe ni mgonjwa au la,ninachotaka kusema ni vyema ukamuona daktari.hata wenye ugonjwa huu huwa hawakubali kama wanaumwa.
mimi tatizo langu ni sisi wanaume wa kiafrika
ukimpata mwanamke wa kihindi au kiarabu....uko tayari kufanya lolote
kumfurahisha......kuliko mwanamke mswahili mwenzio.....
uko tayari kutumia pesa nyiingi na kumdekeza kila aina
lakini mwanamke wa kiswahili utashindana nae hata matunzo ya watoto.....
tunathamini rangi zingine kuliko tunavyojithamini sisi wenyewe....upumbavu saana huu