Binti wa kihindi ananitesa...

Binti wa kihindi ananitesa...

Kumbe nia yako pia ni kujua kihindi. Zama mwanamgu halafu mpe hizi:
Kura suche Gazeti! (Huku unatingisha kishwa kama Dr. Patel) = mimi naitwa Gazeti

Para naum suche?
= unaitwa nani?

Anaweza jibu: Suche Krishna = naitwa Krishna

Kisha mwambie: Barabara, kayne gud suchian = Safi, jina zuri sana

Mwongeze (huku unatabasamu): gamu che suchian satra galu gamuache' = nimependa jina lako kama navyokupenda wewe mwenyewe

Sasa usije ukabugi ukaongea kwa nguvu babaake akakusikia, manake jambo la kwanza ataona ulishawahi kuwa mfanyakazi wa ndani kwa wahindi (Juma) kwa hiyo atapata sbb zaidi za kuhakikisha hufanikiwi
Duh, hii kali!
 
mnh sema nyimbo ya KUCH KUCH HOTAE ishachuja ungemuimbia hiyo angedata
 
10 sins of indian

10. Marrying a blond is a sin. Making love to a blond is a partial sin.
9. Pre-marital sex is a sin. Marital sex is a partial sin.
8. Taking dowry is a sin. Giving dowry is a partial sin.
7. Bullying one's wife is a sin. Having to submit is a partial sin.
6. Gambling is a sin. Playing cards is a partial sin.
5. Drinking is a sin. Smoking is a partial sin.
4. Eating beef is a sin. Eating pork is a partial sin.
3. Hurting a cow is a sin. Hurting insects is a partial sin.
2. Not phoning home is a sin. Running up a huge bill is a partial sin.
1. Forgetting first language is a sin. Speaking with an accent is a partial sin.
 
mzee hiyo ya kua na gari tinted nimeipenda sana na nina uhakika ndiyo ya ukweli kuliko yani..!
 
acha tamaa za kijinga.majitu yenyewe yale mabaya kama nn.......bora mm niliye na cheusi mangala wangu
 
gazeti kwanza hebu tuambie una miaka mingapi na unamvuto na je una uwezo
 
acha tamaa za kijinga.majitu yenyewe yale mabaya kama nn.......bora mm niliye na cheusi mangala wangu
Yaani kama ningemuoa yule naamini ningekuwa na utulivu sana!
 
gazeti kwanza hebu tuambie una miaka mingapi na unamvuto na je una uwezo
Nina miaka ya lawama, yaani haijaenda sana lakini ni ile ambayo
watu wanakulaumu kwanini mpaka leo hujaoa. Dah lawama za kunitaka
nioe zimezidi na niliyemuona ni huyo. OVER
 
kanunue external hardisk nyingine,zali la mentali hilo
 
mimi tatizo langu ni sisi wanaume wa kiafrika
ukimpata mwanamke wa kihindi au kiarabu....uko tayari kufanya lolote
kumfurahisha......kuliko mwanamke mswahili mwenzio.....

uko tayari kutumia pesa nyiingi na kumdekeza kila aina
lakini mwanamke wa kiswahili utashindana nae hata matunzo ya watoto.....

tunathamini rangi zingine kuliko tunavyojithamini sisi wenyewe....upumbavu saana huu
Kwanini mtu akimpenda mwanamke wa rangi tofauti basi andharau weusi?
It's just love bro!!
Gazeti, kamwambie jinsi unavyofeel ukimwona, just be open kama yeye hakufeel mpe uhuru wa kukwambia.
We ain't getting no younger!!..... we mpe laiv tu.
 
Rangi isikufundishe uoga, akikutosa haufi! Mtilie tim, sound zinakujaga zenyewe, ukianza na 1, 2 itafata.
 
mkuu sitaki kutoa hitimisho kama wewe ni mgonjwa au la,ninachotaka kusema ni vyema ukamuona daktari.hata wenye ugonjwa huu huwa hawakubali kama wanaumwa.
Kha!!..... hii kali.
 
mimi tatizo langu ni sisi wanaume wa kiafrika
ukimpata mwanamke wa kihindi au kiarabu....uko tayari kufanya lolote
kumfurahisha......kuliko mwanamke mswahili mwenzio.....

uko tayari kutumia pesa nyiingi na kumdekeza kila aina
lakini mwanamke wa kiswahili utashindana nae hata matunzo ya watoto.....

tunathamini rangi zingine kuliko tunavyojithamini sisi wenyewe....upumbavu saana huu



Ni upumbavu saaana! Tena saana. Ubaya unakuja ni upumbavu amba huja bila hata mhusika kujua kua ni Upumbavu anafanya. Ipo kama involuntary vile... Mie naamini pamoja na kusema wanaume woooote wanataka mwanamke alo bora katika kila sector hasa tabia kinachofunika kuliko choote ni uzuri/urembo wa huyo mwanamke. Me ni mweusi but I acknowledge the fact kua wadada walo weupe mara nyingi wanakua na mvuto flani wa zaidi, na mara nyingi huonekana kama wazuri zaidi. (hapa nikiweka propaganda pembeni za kusema beauty in the eyes of beholder)

Hio in one way or another inakua fueld saana na hio tabia yenu wanaume wa kusifiana fulani ana demu mkali! Na tukifuata reality (hasa kwa watu wa mtoko) guys wakikutana na guys wenzao na kila mmoja alete galfriend wake - kuna ile silent actions za kupima nani ana mwanamke mkali zaidi/nani mwanamke wake viwango/Mwanamke wa nani anafanya washikaji wamwangalie kwa kuibia kila mara walau kula kwa macho? Hio inapelekea mwanaume anapokua na mwanamke wa rangi ashoboke na by all means kummaintain ili hata wakiachana na the woman in question isiwe kwa vigezo vya kuonekana kashindwa mhandle... Hua mara nyingi ni involuntary....
 
Gazeti napenda nikuambie kua kajaribu bahati yako.... But wahindi bana ni moja ya race kujichanganya kazi ipo. Saana saana waweza jitahidi utoke nae (in case kakupenda) But mtaishia hapo tu - thou nishakusoma maybe it's the only thing you want, basing on the kusisimka part....

Kwa upande mwingine mpaka kagugusa (which i bliv was not neccesssary) ukute nae kakuzimia bana kashindwa tu kusema....
 
Duh kweli JF balaa.. Hilo duka ni computronix huyo dada nadhani ni tabia yake. Anawaminyia jicho ili mshindwe kunegotiate bei tu nothing more!!
 
Back
Top Bottom