Binti wa kiislam alikataa dili la pombe kwa vile dini yake hairuhusu

Binti wa kiislam alikataa dili la pombe kwa vile dini yake hairuhusu

Ben Zen Tarot

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2014
Posts
4,298
Reaction score
7,612
FB_IMG_1658862874507.jpg
 
Kwenye Uislam kuna makundi ya dhambi.
Dhambi kubwa
Dhambi ndogo ndogo

Dhambi kubwa.
1. KUKUFURU MUNGU/KUTOAMINI KUDRA ZAKE AU REHEMA NA SHARI ZAKE
2. KUTOAMINI MITUME WAKE
3. KUTOKUSWALI
4. POMBE
5. KULA MALI ZA YATIMA
6. RIBA
7. KUWAUDHI WAZAZI WAKO
8. KUUA
9. KUZINI
10. KUWASINGIZIA WANAWAKE WATULIVU
11. ZINAA.
12. USHIRIKINA

Hizo dhambi ziepuke sana, Mwenyezi Mungu ametuasa waja wake kuwa hizo dhambi utapokufa bila kutubia basi huna msamaha.
 
Huyo ni Zuchu mkuu.
alikataa dili la kufanya promo ya pombe, eti kisa dini yake ya uislamu hairuhusu.
Sasa sijui uislamu unaruhusu uimbaji wake wa bongo fleva na uvaaji wake?
Kuwa na dhambi akukufanyi kila dhambi lazima ufanye mfano wewe unafanya uongo either kwenye mahusiano au kwenye mambo mengine lakini unaposhawishiwiwa uwe mwizi unajikuta nafsi yako inakataa na utaki ufanye kabisa ni kama kwa bibie Zuchu
 
Kwenye Uislam kuna makundi ya dhambi.
Dhambi kubwa
Dhambi ndogo ndogo

Dhambi kubwa.
1. KUKUFURU MUNGU/KUTOAMINI KUDRA ZAKE AU REHEMA NA SHARI ZAKE
2. KUTOAMINI MITUME WAKE
3. KUTOKUSWALI
4. POMBE
5. KULA MALI ZA YATIMA
6. RIBA
7. KUWAUDHI WAZAZI WAKO
8. KUUA
9. KUZINI
10. KUWASINGIZIA WANAWAKE WATULIVU
11. ZINAA.
12. USHIRIKINA

Hizo dhambi ziepuke sana, Mwenyezi Mungu ametuasa waja wake kuwa hizo dhambi utapokufa bila kutubia basi huna msamaha.
Unaweza kjmkuta muislamu yupo baa analewa lakini ukimtajia nguruwe anawaka vibaya mno kuwa unamtajia kitu haramu.
Hizi imani ni ngumu sana kwa kweli.
 
Yaan haya maisha bana...kuna jamaa angu ni muislam pure..kuna demu kamfukuzia sana na akawa anazinguliwa..basi jamaa bila kukata tamaa..aliendeleza mapambano na ndio siku moja manz akaomba appointmen na mchiz..basi wakakutana sehem na manz akaulizwa unapendelea nn demu akajibu ugal na kitimoto na savanna..na pemben kuna lodge basi..vikaletwa manz akala...na kunywa na mwishowe wakazama lodge...kufanya yao..sasa nikamuuliza mchizi kwan hukula mate chap akajibu naachaje! Bas jibu hilo nikaishia tu kucheka..😂😂😂 maana yake kala mate ya manz yenye vichembechembe vya nyama ya ngurue akishushia na savanna
 
Kwenye Uislam kuna makundi ya dhambi.
Dhambi kubwa
Dhambi ndogo ndogo

Dhambi kubwa.
1. KUKUFURU MUNGU/KUTOAMINI KUDRA ZAKE AU REHEMA NA SHARI ZAKE
2. KUTOAMINI MITUME WAKE
3. KUTOKUSWALI
4. POMBE
5. KULA MALI ZA YATIMA
6. RIBA
7. KUWAUDHI WAZAZI WAKO
8. KUUA
9. KUZINI
10. KUWASINGIZIA WANAWAKE WATULIVU
11. ZINAA.
12. USHIRIKINA

Hizo dhambi ziepuke sana, Mwenyezi Mungu ametuasa waja wake kuwa hizo dhambi utapokufa bila kutubia basi huna msamaha.
Kutokujistiri???
 
Back
Top Bottom