Sio kwamba hamfahamu Zuchu sema jamaa ni mtu wamataniHuyo ni Zuchu mkuu.
alikataa dili la kufanya promo ya pombe, eti kisa dini yake ya uislamu hairuhusu.
Sasa sijui uislamu unaruhusu uimbaji wake wa bongo fleva na uvaaji wake?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kwamba hamfahamu Zuchu sema jamaa ni mtu wamataniHuyo ni Zuchu mkuu.
alikataa dili la kufanya promo ya pombe, eti kisa dini yake ya uislamu hairuhusu.
Sasa sijui uislamu unaruhusu uimbaji wake wa bongo fleva na uvaaji wake?
Azavali kubeti haipoKwenye Uislam kuna makundi ya dhambi.
Dhambi kubwa
Dhambi ndogo ndogo
Dhambi kubwa.
1. KUKUFURU MUNGU/KUTOAMINI KUDRA ZAKE AU REHEMA NA SHARI ZAKE
2. KUTOAMINI MITUME WAKE
3. KUTOKUSWALI
4. POMBE
5. KULA MALI ZA YATIMA
6. RIBA
7. KUWAUDHI WAZAZI WAKO
8. KUUA
9. KUZINI
10. KUWASINGIZIA WANAWAKE WATULIVU
11. ZINAA.
12. USHIRIKINA
Hizo dhambi ziepuke sana, Mwenyezi Mungu ametuasa waja wake kuwa hizo dhambi utapokufa bila kutubia basi huna msamaha.
Hao jamaa kwa unafiki namba moja 😁😁Yaan haya maisha bana...kuna jamaa angu ni muislam pure..kuna demu kamfukuzia sana na akawa anazinguliwa..basi jamaa bila kukata tamaa..aliendeleza mapambano na ndio siku moja manz akaomba appointmen na mchiz..basi wakakutana sehem na manz akaulizwa unapendelea nn demu akajibu ugal na kitimoto na savanna..na pemben kuna lodge basi..vikaletwa manz akala...na kunywa na mwishowe wakazama lodge...kufanya yao..sasa nikamuuliza mchizi kwan hukula mate chap akajibu naachaje! Bas jibu hilo nikaishia tu kucheka..😂😂😂 maana yake kala mate ya manz yenye vichembechembe vya nyama ya ngurue akishushia na savanna
Kwa hiyo dini inaruhusu kutembea matako nje kama ilivyo kwny picha.
Kwa andiko hili ni bora angekubali hilo dili. Ila ni aina fulani ya matangazo.Kwenye Uislam kuna makundi ya dhambi.
Dhambi kubwa
Dhambi ndogo ndogo
Dhambi kubwa.
1. KUKUFURU MUNGU/KUTOAMINI KUDRA ZAKE AU REHEMA NA SHARI ZAKE
2. KUTOAMINI MITUME WAKE
3. KUTOKUSWALI
4. POMBE
5. KULA MALI ZA YATIMA
6. RIBA
7. KUWAUDHI WAZAZI WAKO
8. KUUA
9. KUZINI
10. KUWASINGIZIA WANAWAKE WATULIVU
11. ZINAA.
12. USHIRIKINA
Hizo dhambi ziepuke sana, Mwenyezi Mungu ametuasa waja wake kuwa hizo dhambi utapokufa bila kutubia basi huna msamaha.
Huyu binti ni mshika dini yake kweli kweli na hawezi kwenda kinyume na maadili ya dini yake!
Acha utani kuna dini inaruhusu uzinzi? au hujui huyo binti anabinuliwa na Diamond?Huyu binti ni mshika dini yake kweli kweli na hawezi kwenda kinyume na maadili ya dini yake!
🤣🤣🤣🤣Hayo mavaziiii sasa!! [emoji6][emoji6][emoji6][emoji848][emoji848][emoji848]
🤣🤣🤣🤣🤣Acha utani kuna dini inaruhusu uzinzi? au hujui huyo binti anabinuliwa na Diamond?
Kwenye Uislam kuna makundi ya dhambi.
Dhambi kubwa
Dhambi ndogo ndogo
Dhambi kubwa.
1. KUKUFURU MUNGU/KUTOAMINI KUDRA ZAKE AU REHEMA NA SHARI ZAKE
2. KUTOAMINI MITUME WAKE
3. KUTOKUSWALI
4. POMBE
5. KULA MALI ZA YATIMA
6. RIBA
7. KUWAUDHI WAZAZI WAKO
8. KUUA
9. KUZINI
10. KUWASINGIZIA WANAWAKE WATULIVU
11. ZINAA.
12. USHIRIKINA
Hizo dhambi ziepuke sana, Mwenyezi Mungu ametuasa waja wake kuwa hizo dhambi utapokufa bila kutubia basi huna msamaha.
🤣🤣🤣🤣Sawa ila siku hizi watu wanachagua dhambi kama wapo mtumbani, wasafi bet je mbona anatangaza
😂🤣Yaan haya maisha bana...kuna jamaa angu ni muislam pure..kuna demu kamfukuzia sana na akawa anazinguliwa..basi jamaa bila kukata tamaa..aliendeleza mapambano na ndio siku moja manz akaomba appointmen na mchiz..basi wakakutana sehem na manz akaulizwa unapendelea nn demu akajibu ugal na kitimoto na savanna..na pemben kuna lodge basi..vikaletwa manz akala...na kunywa na mwishowe wakazama lodge...kufanya yao..sasa nikamuuliza mchizi kwan hukula mate chap akajibu naachaje! Bas jibu hilo nikaishia tu kucheka..😂😂😂 maana yake kala mate ya manz yenye vichembechembe vya nyama ya ngurue akishushia na savanna