Binti wa kiislamu aliye serious kuolewa, tuwasiliane

Binti wa kiislamu aliye serious kuolewa, tuwasiliane

Hussein J Mahenga

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2012
Posts
750
Reaction score
656
Habarini za wakati huu

Mimi ni mtanzania kijana mwenye umri wa miaka 26 mwenye asili ya kinyamwezi. Nafanya shahada yangu ya kwanza ya Elimu kwenye moja ya chuo kikuu hapa nchini.

Ninahitaji binti mwenye maadili ya kiislamu na awe na hitaji la kuanza maisha ya ndoa hivi karibuni. Sina vigezo vingi sana, ila tunangalau awe mwenye nia ya dhati ya maendeleo na mwenye kuthubutu. Mengine yote nafikiri tutaongea vizuri.

Mwisho, japo si mwisho kabisa, naombeni maombi yenu wadau katika hili, na kwa wanaume wenzangu hasa waliooa tayari tupeane ushauri tafadhali.

Mawasiliano.
Usihangaike kunitafuta inbox, bofya moja kwa moja tarakimu hizi.
+255 759 947 397 (ipo WhatsApp pia)
Haijalishi ume-beep, au umetuma meseji, hakika nitakujibu.

Asanteni sana
_______________
Sir H
 
Wakija wengi nipe na mimi mmoja kwa siri,nami namtaka binti mmoja wa kiislamu
 
Back
Top Bottom